JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Pamoja na hivyo atakuwa akiendelea na mjukumu ya kuwa mshauri wa Man United jambo ambalo mashabiki wa timu hiyo wamekasirika na wamekosoa mitandaoni wakuamini hawezi kufanya kazi mbili kwa wakati mmoja.
Rangnick amesaini mkataba wa miaka miwili kuinoa Austria akichukua nafasi ya Franco Foda ambaye ameshindwa kuipeleka timu hiyo Kombe la Dunia 2022.
Source: DailyMail