Kocha Mecky Mexime atimuliwa Kagera Sukari

Kocha yeyote kufukuzwa sio jambo la kushangaza.
 
Hizi timu,walicheza mpira mzuri walivyocheza na Yanga,lakini wakicheza na vitimu vidogo upuuzi mtupu,pole Maxime.
 
Mwaka jana alikataa kujiunga Yanga, Sasa katimuliwa. Ataenda IHEFU
 
Hizi timu, walicheza mpira mzuri walivyocheza na Yanga,lakini wakicheza na vitimu vidogo upuuzi mtupu, pole Maxime.
Amefukuzwa kwa kuwa alitoa sare na Yanga, ni matokeo mabaya kwao kwa mujibu wa uongozi wa Kagera Sugar
 
Inasikitisha sana...

Mwendo wa kutumbua makocha...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…