Umejishika mkundunii kajitawaze kwan m2 akisema wananchi hujuw anazngumzia nn m2 akisema wana lunyas Kama huelew kaa pemben msaidie mkeo kukuna nazLunyasi ndo nini na kama ni timu mbona tz hakuna timu iitwayo lunyasi? Hakika ujinga ni mzigo mzto.
Nabi huyu ambae ukiondoa mechi ya vibonde wa Sudan kusini zalani fc hajawahi kushinda mechi hata Moja ya kimataifa ndiye aifundishe simba yenye malengo makubwa ktk soka la Afrika?Wote hawafai. Achukuliwe Nabi, yeye hakupoteza hata moja.
Kwa wachezaji wale ata hakija mzungu ndio tutafika popote ?Kwa kocha huyu mgunda hata umletee kina messi hatufiki kokote,subiri klabu bingwa ianze na ligi uone tutakavyotepeta mzee
Umemfahamu Nabi kipindi akiwa Yanga I thinkNabi huyu ambae ukiondoa mechi ya vibonde wa Sudan kusini zalani fc hajawahi kushinda mechi hata Moja ya kimataifa ndiye aifundishe simba yenye malengo makubwa ktk soka la Afrika?
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Makocha weusi hawapo au wakishindwa waturudishie kishingo wetuyuko vzr,pia wafaransa ni makocha wazuri.hasa kwa mpira wa kisasa na timu ya simba ilivyo
Sisi mashabiki wa simba tuna imani na kocha wetu mpya Juma Mgunda, na mdaifizibwake Suleiman Matola.Twendeni na mgunda
makocha weusi ktkt soka wenye mafanikio naona wote wako na mikataba .,labda tajiri avunje mikataba yao huko walikoMakocha weusi hawapo au wakishindwa waturudishie kishingo wetu
Nafasi ya matola ichukuliwe na mgundaMatola aondoke kwanza, pengine ndo hao makocha wanaokuja wanaweza kufanikiwa!!!!!
Vinginevyo Matola ni kirusi