Torra Siabba
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 243
- 287
Kocha Mkuu wa KMC Abdihamid Moallin inadaiwa kwamba amejiuzulu kuifundisha KMC kuanzia leo novemba 11.
Mpaka sasa KMC ambao ndio wamiliki wa Kocha huyo hawajasema chochote lakini taarifa za kujiuzulu kwake zimesambaa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii
Kabla ya kutua KMC Moallin alikuwa Kocha mkuu wa Azam ambapo alidumu kwa muda wa msimu mmoja na nusu ambapo alitimkia KMC alipokaa kwa misimu miwili.
Inaelezwa amepata timu nje ya nchi
Nenda Moallin Msomali anayelijua Boli
Mpaka sasa KMC ambao ndio wamiliki wa Kocha huyo hawajasema chochote lakini taarifa za kujiuzulu kwake zimesambaa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii
Kabla ya kutua KMC Moallin alikuwa Kocha mkuu wa Azam ambapo alidumu kwa muda wa msimu mmoja na nusu ambapo alitimkia KMC alipokaa kwa misimu miwili.
Inaelezwa amepata timu nje ya nchi
Nenda Moallin Msomali anayelijua Boli