Kocha mpya taifastars :Kashinda sawa lakini apite hapa atueleze haya..

Kocha mpya taifastars :Kashinda sawa lakini apite hapa atueleze haya..

mugah di matheo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
6,307
Reaction score
12,410
Ushindi usitunyamazishe huyu kocha tumhoji kikosi aliita yeye?
Je anauhakika gani wa viwango vya wachezaji aliowaita Kama vile Beno kakolanya alimuona wapi kwenye ushindani? Hivyo hivyo kwa metacha toka mwezi wa 12 amecheza mechi 3 tu yeye kocha anauhakika gani wa kiwango chake,,
Feisal hana timu hajui anafanyaje mazoezi yeye kamuita kwa vigezo vipi?
Bwana mdogo Ally msengi kocha alimuona wapi? Kwenye mechi 15 za mwisho za klabu yake ya swallow hajakaa hata Benchi Ila ndani ya wiki mbili kocha amemridhika kuliko aliowaona wakicheza...
Huyu kocha naona anaendeshwa na remote

Tujadili Hawa walioitwa walioachwa tuwavungie kwanza
 
Una point!

Ila itakuwa kocha kawaona mazoezini ndo maana Job kala shavu la kulia la Kapoor badala ya namba 4 yake na Novatus kala shavu la kushoto la Amrish Puri badala ya namba 6 yake

Huyu Adel ni Professa mwingine kwenye soka letu Tumpe muda hata 5 years! Atatutoa unyonge.

Kocha Adel anaangalia unachezaje anakupa namba ukomae nayo utajua mwenyewe.

Tukumbuke pia ushindi wa Taifa Stars Jana uliletwa na Yanga players kupitia fighting and wining spirit yao maana ilisambaa timu nzima.

Yanga players wanajiamini na hawajui kupoteza mchezo! Unaweza kusoma nyuso zao Hali hiyo iliwapa hamasa wachezaji kama Mzamiru na Himid
 
Ishu ya FEI ipo kama ya msuva tu kuna kipindi msuva alikaa miez kibao ajachez soka la ushindani ila aliitwa team ya taifa ngoja nikwambie muundo wa team ya taifa wachezaj frani wanakuwa kama icon awabadilishwi kwa Tanzania wachezaji hao ni msuva FEI samatta manula
 
Una point!

Ila itakuwa kocha kawaona mazoezini ndo maana Job kala shavu la kulia la Kapoor badala ya namba 4 yake na Novatus kala shavu la kushoto la Amrish Puri badala ya namba 6 yake

Huyu Adel ni Professa mwingine kwenye soka letu Tumpe muda.

Kocha Adel anaangalia unachezaje anakupa namba ukomae nayo utajua mwenyewe.

Tukumbuke pia ushindi wa Taifa Stars Jana uliletwa na Yanga players kupitia fighting and wining spirit yao maana ilisambaa timu nzima.

Yanga players wanajiamini na hawajui kupoteza mchezo! Unaweza kusoma nyuso zao Hali hiyo iliwapa hamasa wachezaji kama Mzamiru na Himid
Unamaanisha kuwa kocha wa Taifa stars anahudhuria session za mazoezi za vilabu vya ligi kuu?
 
Una point!

Ila itakuwa kocha kawaona mazoezini ndo maana Job kala shavu la kulia la Kapoor badala ya namba 4 yake na Novatus kala shavu la kushoto la Amrish Puri badala ya namba 6 yake

Huyu Adel ni Professa mwingine kwenye soka letu Tumpe muda.

Kocha Adel anaangalia unachezaje anakupa namba ukomae nayo utajua mwenyewe.

Tukumbuke pia ushindi wa Taifa Stars Jana uliletwa na Yanga players kupitia fighting and wining spirit yao maana ilisambaa timu nzima.

Yanga players wanajiamini na hawajui kupoteza mchezo! Unaweza kusoma nyuso zao Hali hiyo iliwapa hamasa wachezaji kama Mzamiru na Himid
Mkuu tusidanganyane , uganda wenyewe kwa sasa ni choka mbaya . Fikiria kama Okwi bado ni mchezaji wa kutumainiwa wa kikosi hicho unadhani kuna timu hapo ?

Hao wachezaji wa Yanga unaowasema kwamba ndio chachu ya ushindi ilikuwaje wakashindwa CAFCL hadi kuangukia CAFcc (kombe la ma loser)?
 
Unamaanisha kuwa kocha wa Taifa stars anahudhuria session za mazoezi za vilabu vya ligi kuu?
Haadi vya bondeni maana Ally msengi wa swallows hajacheza tangu mwezi wa 9 Ila kaitwa na huko swallow hakai hata benchi
 
M
Una point!

Ila itakuwa kocha kawaona mazoezini ndo maana Job kala shavu la kulia la Kapoor badala ya namba 4 yake na Novatus kala shavu la kushoto la Amrish Puri badala ya namba 6 yake

Huyu Adel ni Professa mwingine kwenye soka letu Tumpe muda.

Kocha Adel anaangalia unachezaje anakupa namba ukomae nayo utajua mwenyewe.

Tukumbuke pia ushindi wa Taifa Stars Jana uliletwa na Yanga players kupitia fighting and wining spirit yao maana ilisambaa timu nzima.

Yanga players wanajiamini na hawajui kupoteza mchezo! Unaweza kusoma nyuso zao Hali hiyo iliwapa hamasa wachezaji kama Mzamiru na Himid
Mazoezi ya timu gani kaenda ndani ya wiki moja?? Kafika south Afrika akamuona Ally msengi?
 
Ushindi usitunyamazishe huyu kocha tumhoji kikosi aliita yeye?
Je anauhakika gani wa viwango vya wachezaji aliowaita Kama vile Beno kakolanya alimuona wapi kwenye ushindani? Hivyo hivyo kwa metacha toka mwezi wa 12 amecheza mechi 3 tu yeye kocha anauhakika gani wa kiwango chake,,
Feisal hana timu hajui anafanyaje mazoezi yeye kamuita kwa vigezo vipi?
Bwana mdogo Ally msengi kocha alimuona wapi? Kwenye mechi 15 za mwisho za klabu yake ya swallow hajakaa hata Benchi Ila ndani ya wiki mbili kocha amemridhika kuliko aliowaona wakicheza...
Huyu kocha naona anaendeshwa na remote

Tujadili Hawa walioitwa walioachwa tuwavungie kwanza
Hata ule mfumo alioutumia jana, atakuwa alipangiwa aisee! Kiukweli timu haikuwa na mtiririko mzuri katika uchezaji. Na hasa kwenye kipindi cha kwanza
 
Nachomekea tu! Kiungo mchezeshaji wa Taifa stars jana alikuwa ni nani? Mbona naona sure boy alipaswa awemo mule! Jamaa huwa anateleza tu
 
Ushindi usitunyamazishe huyu kocha tumhoji kikosi aliita yeye?
Je anauhakika gani wa viwango vya wachezaji aliowaita Kama vile Beno kakolanya alimuona wapi kwenye ushindani? Hivyo hivyo kwa metacha toka mwezi wa 12 amecheza mechi 3 tu yeye kocha anauhakika gani wa kiwango chake,,
Feisal hana timu hajui anafanyaje mazoezi yeye kamuita kwa vigezo vipi?
Bwana mdogo Ally msengi kocha alimuona wapi? Kwenye mechi 15 za mwisho za klabu yake ya swallow hajakaa hata Benchi Ila ndani ya wiki mbili kocha amemridhika kuliko aliowaona wakicheza...
Huyu kocha naona anaendeshwa na remote

Tujadili Hawa walioitwa walioachwa tuwavungie kwanza
timu ya TFF hiyo ndugu, sasa ndiyo atapewa muda kidogo kidogo kufanya marekebisho, ila hii ya kuanzia kapewa list. Na ndiyo maana baada ya mechi ya HOLOYA kocha aliongea na Kapombe na Shabalala - waliteta ila hatujui waliongea nini.
 
Ushindi usitunyamazishe huyu kocha tumhoji kikosi aliita yeye?
Je anauhakika gani wa viwango vya wachezaji aliowaita Kama vile Beno kakolanya alimuona wapi kwenye ushindani? Hivyo hivyo kwa metacha toka mwezi wa 12 amecheza mechi 3 tu yeye kocha anauhakika gani wa kiwango chake,,
Feisal hana timu hajui anafanyaje mazoezi yeye kamuita kwa vigezo vipi?
Bwana mdogo Ally msengi kocha alimuona wapi? Kwenye mechi 15 za mwisho za klabu yake ya swallow hajakaa hata Benchi Ila ndani ya wiki mbili kocha amemridhika kuliko aliowaona wakicheza...
Huyu kocha naona anaendeshwa na remote

Tujadili Hawa walioitwa walioachwa tuwavungie kwanza
ndugu kocha mpya anapoteuliwa,kuitisha mafaili ya wachezaji ya miezi iliyopita na kuangalia video ya michezo isiyopungua 5 ya wachezaji,na pia hupokea ushauri wa mkurugenzi wa ufundinwa tff ndipo anafanya uteuzi
 
ndugu kocha mpya anapoteuliwa,kuitisha mafaili ya wachezaji ya miezi iliyopita na kuangalia video ya michezo isiyopungua 5 ya wachezaji,na pia hupokea ushauri wa mkurugenzi wa ufundinwa tff ndipo anafanya uteuzi
Mafaili gani ya Datus Peter?
Mafaili gani ya Ally msengi?
Mafaili gani ya kakolanya??
Alikua na uhakika gani wa fitness level ya feisal?
 
Back
Top Bottom