Kocha mwenye sifa za kuporomosha kila timu anayopewa. Fadlu David kaishaua uwezo wa kila mchezaji Simba Na mbeleko zote toka mechi ya Azam

Kocha mwenye sifa za kuporomosha kila timu anayopewa. Fadlu David kaishaua uwezo wa kila mchezaji Simba Na mbeleko zote toka mechi ya Azam

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Sikuwaelewa Simba kwa Fadlu David. Record mbovu mno aakiwa kocha mkuu. Anakuja kupewa timu kwa record za akiwa asistance kocha.

Kila timu ikienda mapumziko inarudi ikiwa mbovu kuliko awali. Timu ilishinda kwa uwezo binafsi tu wa wachezaji sio mfumo.

Mechi ya mbili za awali Simba inabebwa. Hatuoni timu ikipiga hatua.

Fadlu akiendelea na timu na marefa wakawa Fear na kusiwepo bahasha akyamama Simba itashuka daraja. Hakuna kocha hakuna kocha hakuna kocha.
 
Watu kama wewe ni hatari kwa team, ulitegemea Simba hatofungwa?

Team zinasajili ili zije kufungwa na Simba?
 
Koloz ndo wako hivyohivyo. Mwaka takriban wa tano au wa sita. Hiyo ndo level yao. Kila kocha anaambulia aibu tu. Nakubaliana na wewe kuhusu profile ya Fadlu. Hana uwezo wa kutengeneza timu kali kwa continental competitions achilia mbali ligi ya Tanganyika!
 
Sikuwaelewa Simba kwa Fadlu David. Record mbovu mno aakiwa kocha mkuu. Anakuja kupewa timu kwa record za akiwa asistance kocha.

Kila timu ikienda mapumziko inarudi ikiwa mbovu kuliko awali. Timu ilishinda kwa uwezo binafsi tu wa wachezaji sio mfumo.

Mechi ya mbili za awali Simba inabebwa. Hatuoni timu ikipiga hatua.

Fadlu akiendelea na timu na marefa wakawa Fear na kusiwepo bahasha akyamama Simba itashuka daraja. Hakuna kocha hakuna kocha hakuna kocha.
Utakuwa hauko sawa aisee.!
Jizuie Mkuu, usije ukajidhuru.
 
Sikuwaelewa Simba kwa Fadlu David. Record mbovu mno aakiwa kocha mkuu. Anakuja kupewa timu kwa record za akiwa asistance kocha.

Kila timu ikienda mapumziko inarudi ikiwa mbovu kuliko awali. Timu ilishinda kwa uwezo binafsi tu wa wachezaji sio mfumo.

Mechi ya mbili za awali Simba inabebwa. Hatuoni timu ikipiga hatua.

Fadlu akiendelea na timu na marefa wakawa Fear na kusiwepo bahasha akyamama Simba itashuka daraja. Hakuna kocha hakuna kocha hakuna kocha.
Mechi moja tu unatoa malalamiko, simba sasa angala na ya msimu uliopita, else wangekula magoli mengi sana leo
 
Sikuwaelewa Simba kwa Fadlu David. Record mbovu mno aakiwa kocha mkuu. Anakuja kupewa timu kwa record za akiwa asistance kocha.

Kila timu ikienda mapumziko inarudi ikiwa mbovu kuliko awali. Timu ilishinda kwa uwezo binafsi tu wa wachezaji sio mfumo.

Mechi ya mbili za awali Simba inabebwa. Hatuoni timu ikipiga hatua.

Fadlu akiendelea na timu na marefa wakawa Fear na kusiwepo bahasha akyamama Simba itashuka daraja. Hakuna kocha hakuna kocha hakuna kocha.
Tawile
 
Mechi moja tu unatoa malalamiko, simba sasa angala na ya msimu uliopita, else wangekula magoli mengi sana leo
Mechi ya Azam imeshinda kwa mazabe, mechi ya Dodoma jiji refa kaingilia kati leo pia bila refa kufanya makeke ilikia aibu
 
Sikuwaelewa Simba kwa Fadlu David. Record mbovu mno aakiwa kocha mkuu. Anakuja kupewa timu kwa record za akiwa asistance kocha.

Kila timu ikienda mapumziko inarudi ikiwa mbovu kuliko awali. Timu ilishinda kwa uwezo binafsi tu wa wachezaji sio mfumo.

Mechi ya mbili za awali Simba inabebwa. Hatuoni timu ikipiga hatua.

Fadlu akiendelea na timu na marefa wakawa Fear na kusiwepo bahasha akyamama Simba itashuka daraja. Hakuna kocha hakuna kocha hakuna kocha.
Nilikuwa nasema ya kwamba siku zote bingwa ucheza kibingwa lakini wale Wenye uelewa na Mpira walikuwa wananielewa, Uwezi kuona ata siku Moja yanga akidondosha point kiboya boya ata kama amecheza vibaya, lazima aondoke na point muhimu lakini kwa Simba Wala icho kitu akijataka kusubilia muda mrefu kimetokea haraka Tena kwenye uwanja Bora vipi ligi ikichanganya itakuwaje?
 
Mechi ya Azam imeshinda kwa mazabe, mechi ya Dodoma jiji refa kaingilia kati leo pia bila refa kufanya makeke ilikia aibu
Una uhakika? Azam walikatika wenyewe, dodoma jiji yes kulikua kuna anomaly, hii ya leo ni makosa ya defence ya coastal.
Kwa mechi ya leo simba wamecheza vibaya, wamekosa focus probably waliidharau coastal

But haimaanishi team ni mbovu, huwez perform mechi zote
 
Yani ukiwa mshabiki wa Simba tu, Mungu anaondoa Subira kwako .!

Na hapo ni Suluhu, Subirini Mechi na mtaji, mtamfukuza Kocha..
 
Una uhakika? Azam walikatika wenyewe, dodoma jiji yes kulikua kuna anomaly, hii ya leo ni makosa ya defence ya coastal.
Kwa mechi ya leo simba wamecheza vibaya, wamekosa focus probably waliidharau coastal

But haimaanishi team ni mbovu, huwez perform mechi zote
Subiri tarehe 19 utapata jibu
 
Muda utasema. Leo hutaelewa. Na nimesema najua hafukuzwi leo. Bila refa tutajua tu.
Wachezaji wote wameshuka uwezo. Tutatukana wachezaji tu kwa uwezo mbovu wa kocha
Nakubaliana na wewe 100% umegundua hilo mapema . Binafsi bado naona uwezo wake mdogo sana . Najua wengi hawawez kuelewa lkn muda ni hakimu wa HAKI.
Kocha bado anajitafuta sana sjajua kama Simba watamvumilia mpaka msimu uishe. Hilo sidhani.
 
Back
Top Bottom