OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Povu baada ya kufungwa na Mtibwa. Ashauriwe kujikita na mechi zake,kama uendeshaji au maamuzi yana shida basi izungumzie game zake tu. Hili la kurukia progress ya Simba na kuihusisha na kushindwa kwake ni kama kuwatafutia TFF sababu za kumfungia.
Mpira unachezwa hadharani,Yanga haiko vizuri,haina wachezaji wa kulazimisha matokeo kama kina Boko na Kagere,haiwezi kutoboa