Kocha Nabi anataka kuondoka?

naby mayele diara hawa watu hawapaswi kubaki yanga sema yanga walivyo ving'ang'anizi sio kama simba ukifika dau yanga watakuyumbisha sana ukitaka kuondoka [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Akibaki yanga si atakua mjinga kabahatisha kundi lina timu mbovu kafanikiwa kufika final hiyo ndo mlango wa kuondokea akatafute hela vinginevyo atafukuzwa akacheze na watoto wake nyumbani
 
Wewe hujapata pa kwenda pia karibu
 
naby mayele diara hawa watu hawapaswi kubaki yanga sema yanga walivyo ving'ang'anizi sio kama simba ukifika dau yanga watakuyumbisha sana ukitaka kuondoka [emoji16][emoji16][emoji16]
Nabi, Mayele na Diarra ni misumari kwenye mioyo ya Makolo. Hiyo ndiyo maana ya ujumbe wako.
 
Sio mbaya

Hata mayele wakipata ofa nzuri wamuuze tu Hela ndefu.

Lazima klabu zifanye biashara. Kubalance vitabu vya mahesabu

Mayele ni bidhaa iliyo sokoni ikipata mnunuaji mzuri iuzwe.

Wachezaji wafuatao waachane nao

Azizi Ki
Morisson
Kisinda

Hawa hawana levo za yanga

Azizi Ki ni underpeformer ameonesha sio mchezaji wa kumtegemea.

This time wasake vipaji vipya wavielete jangwani.
 
Hakuna kocha, mchezaji anayeweza kucheza timu moja milele, nitafurahi akiondoka akatafute changamoto sehemu nyingine huko

Mayele kama ana akili akipata offer nzuri AONDOKE miaka inasogea na nguvu, ubora unapungua sio mbaya Yanga hatumdai lolote

Kocha nabi vivyo hivyo akipata offer nzuri aende, kwa level iliyofika Yanga ni wazi tukihitaji kocha mzuri tutapata, wachezaji wenye ubora vilevile
 
Ila kwenye dirisha kubwa la usajili inahitajika umakini wa hali ya juu, umri uzingatiwe na performance pia
 
Aziz kii
Morisson

Hawa ndo Giants wa team na wanapokea mkwanja mrefu kushinda wote hapo klabuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…