kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Kwa wanaojua mpira vizuri watakubaliana na mimi ila wale wabishi watabisha kwasababu Xavi ni kocha wa Barcelona kwa hiyo wao wanamuona ni kocha bora zaidi ya Nabi.
Tactics za Xavi ni za kizamani zaidi ndiyo maana mara nyingi Barcelona wakikutana na timu kubwa au timu inayocheza "deffance total" hawatoboi.
Kama leo nimecheki mchezo wao ndiyo nikadharau, Xavi bado sana anahitaji kujifunza mpira wa kisasa.
Wewe unaona timu pinzani wako nyuma sana wanashambulia ku conter attack bado unacheza mpira wa tik tak kumtafuta namba 9 ili afunge, kwani pale katikati alikuwa hana watu wakuzalisha shuti za mbali kama Fei Toto na wengine?
Ila ukicheki mechi nyingi za Nabi akiona unacheza mpira wa kuzuia zaidi sana anatumia mfumo wa mashambulizi ya kati yaani mfumo wa kuzalisha shuti katikati ya uwanja ndiyo kitu Xavi leo alishindwa kutumia.
Tatics za Nabi zipo nyingi sana.
Tactics za Xavi ni za kizamani zaidi ndiyo maana mara nyingi Barcelona wakikutana na timu kubwa au timu inayocheza "deffance total" hawatoboi.
Kama leo nimecheki mchezo wao ndiyo nikadharau, Xavi bado sana anahitaji kujifunza mpira wa kisasa.
Wewe unaona timu pinzani wako nyuma sana wanashambulia ku conter attack bado unacheza mpira wa tik tak kumtafuta namba 9 ili afunge, kwani pale katikati alikuwa hana watu wakuzalisha shuti za mbali kama Fei Toto na wengine?
Ila ukicheki mechi nyingi za Nabi akiona unacheza mpira wa kuzuia zaidi sana anatumia mfumo wa mashambulizi ya kati yaani mfumo wa kuzalisha shuti katikati ya uwanja ndiyo kitu Xavi leo alishindwa kutumia.
Tatics za Nabi zipo nyingi sana.