Kuzenza kamuli
Member
- Dec 17, 2019
- 19
- 41
Kwa msimamo wa Ligi Kuu ya NBC ulivyo mpaka sasa ni dhahiri moja kwa moja bingwa wa NBC msimu wa 2021/22 ni Young Africans SC
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teseka for ur only riskacha mungu aitwe mungu..... Siju kwa nini mungu alifanya maajabu ya namna hii...kututenganisha Sisi simba wenye upeo mkubwa na hawa utoh viazi....yani utoh kichwani wepesi sana, uwezo wa kufiri mdogo, hebu fuatilia nyuzi wanazoandika humu utafikiri mtu katoka kuchunga ng'ombe kachokaa halafu ndo anapewa kazi ya kuandika humu.....
mfano: angalia hii thread.. anaanza na tetesi ...ukianza kusoma habari haiendani na tetesi.. yaani wanaandika ili kujaza servrer tu.... labda cjui ni furaha iliyopitiliza baada ya miaka minne hii huzuni...??
Utopolo nao ni binadamu .Wakati mwingine nao wanahitaji furaha. Miaka 4 ktk majonzi siyo mchezo. Hongereni leo mumekabidhiwa kombe. Rai yangu tu ni kwamba , msiende kutuaibisha kimataifa kama mlivyofanya kwa Al -Masry pale kirumba na Rivers utd kwa Mkapa kubinuliwa ndani na nje.Kwa msimamo wa Ligi Kuu ya NBC ulivyo mpaka sasa ni dhahiri moja kwa moja bingwa wa NBC msimu wa 2021/22 ni Young Africans SCView attachment 2184311
Labda kichwa ubongo wako ndo mbichi,, maana kama mpaka Sasa huelewi kinachoendelea ww ni mbururaLigi bado mbichi
Sasa We unaona ni Simba gani hapa ya kuweza kushinda mechi zote hzo..Bado mechi takribani 11, gap ni points 10 ambazo ni sawa na Yanga apoteze mechi 3 na atoe droo 1 huku Simba ashinde zote...kwenye mpira hili linawezekana
Kama gap litaendelea kuwa hivi, Yanga itabidi ashinde mechi 8 kati ya 11 ili awe bingwa
Safari bado...
[emoji23][emoji23][emoji23]acha mungu aitwe mungu..... Siju kwa nini mungu alifanya maajabu ya namna hii...kututenganisha Sisi simba wenye upeo mkubwa na hawa utoh viazi....yani utoh kichwani wepesi sana, uwezo wa kufiri mdogo, hebu fuatilia nyuzi wanazoandika humu utafikiri mtu katoka kuchunga ng'ombe kachokaa halafu ndo anapewa kazi ya kuandika humu.....
mfano: angalia hii thread.. anaanza na tetesi ...ukianza kusoma habari haiendani na tetesi.. yaani wanaandika ili kujaza servrer tu.... labda cjui ni furaha iliyopitiliza baada ya miaka minne hii huzuni...??
Mkuu kwani safari bado tu?Bado mechi takribani 11, gap ni points 10 ambazo ni sawa na Yanga apoteze mechi 3 na atoe droo 1 huku Simba ashinde zote...kwenye mpira hili linawezekana
Kama gap litaendelea kuwa hivi, Yanga itabidi ashinde mechi 8 kati ya 11 ili awe bingwa
Safari bado...
Kumbe mlikuwepo?Ligi bado mbichi
Kumbe mlikuwepoLigi bado mbichi
. Una hali gani huko?acha mungu aitwe mungu..... Siju kwa nini mungu alifanya maajabu ya namna hii...kututenganisha Sisi simba wenye upeo mkubwa na hawa utoh viazi....yani utoh kichwani wepesi sana, uwezo wa kufiri mdogo, hebu fuatilia nyuzi wanazoandika humu utafikiri mtu katoka kuchunga ng'ombe kachokaa halafu ndo anapewa kazi ya kuandika humu.....
mfano: angalia hii thread.. anaanza na tetesi ...ukianza kusoma habari haiendani na tetesi.. yaani wanaandika ili kujaza servrer tu.... labda cjui ni furaha iliyopitiliza baada ya miaka minne hii huzuni...??
Kucheka kwa zamu[emoji23][emoji23][emoji23]