Huja
JF-Expert Member
- Aug 7, 2021
- 1,167
- 1,848
Hii ni kwa viongozi wa SIMBA. Nimeangalia style ya simba nimegundua kuwa PABLO ni kocha mzuri.
Aliikuta wachezaji wakicheza individual na sio team work. Taratibu naona simba wanavyocheza pasi na soka la haraka.
Simba hapo ilipo inahitaji tu aina fulani wa wachezaji then aweze kuwaunganisha, naamini simba inaweza kutisha AFRICA.
Tumpe muda wa kutosha PABLO. Shiida ya soka la Tanzania washabiki wamejaa kukosoa na pressure nyingi bila kuangalia mambo ya kiufundi. Najua kuna watu wanaokosoa namna anavyopanga na kufanya rotation ya kikosi lakini bado naamini kuna kitu cha kiufundi katika brain yake.
Simba inahitaji kujenga falsafa yake, kwa kuziangalia pia timu zenye mafanikio kama Mamelod Sundown, TP Mazembe, Al Ahly n.k na kuachana na mazoea ya ajiri - fukuza.
Bila ya hata kujali mwenendo wa msimu huu, ila kama simba inataka maendeleo ya muda mrefu, hasa kimaitaifa basi tumpe muda na support PABLO.
Sent from my CPH1933 using JamiiForums mobile app
Aliikuta wachezaji wakicheza individual na sio team work. Taratibu naona simba wanavyocheza pasi na soka la haraka.
Simba hapo ilipo inahitaji tu aina fulani wa wachezaji then aweze kuwaunganisha, naamini simba inaweza kutisha AFRICA.
Tumpe muda wa kutosha PABLO. Shiida ya soka la Tanzania washabiki wamejaa kukosoa na pressure nyingi bila kuangalia mambo ya kiufundi. Najua kuna watu wanaokosoa namna anavyopanga na kufanya rotation ya kikosi lakini bado naamini kuna kitu cha kiufundi katika brain yake.
Simba inahitaji kujenga falsafa yake, kwa kuziangalia pia timu zenye mafanikio kama Mamelod Sundown, TP Mazembe, Al Ahly n.k na kuachana na mazoea ya ajiri - fukuza.
Bila ya hata kujali mwenendo wa msimu huu, ila kama simba inataka maendeleo ya muda mrefu, hasa kimaitaifa basi tumpe muda na support PABLO.
Sent from my CPH1933 using JamiiForums mobile app