MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Mkuu kumbe upo nilikuwa najiuliza mbona muda unakwenda sijaona uzi wako apa wakati Chama lako limeshona sare za Idd mbele ya kocha la madrid🤣🤣🤣🤣Waligombana katika Mechi ya Derby Timu ilipokuwa Vyumbani kwa Chama kuzikataa Mbinu za Kocha Pablo ambazo aliziona zisingesaidia mbele ya Yanga SC na Kocha kuona anadharaulika.
Tafadhali Simba SC hasa Msemaji Ahmed Ally usilificbe hili kwani nina uhakika nalo 100% kwakuwa ndani ya Simba SC yako nina Marafiki zangu wakubwa na wenye Ushawishi na Nguvu Kikosini.
Na kweli aache umbeyaNi vema ungezungumza na hao marafiki zako wenye nguvu na ushawishi wawapatanishe . Huku jamii forum hakuna mwemye nguvu na ushawishi huko simba
Kama alionao aliyekuzaa.Na kweli aache umbeya
Kwann usiwasiliane na hao watu wako wenye "ushawishi" wawapatanishe?Waligombana katika Mechi ya Derby Timu ilipokuwa Vyumbani kwa Chama kuzikataa Mbinu za Kocha Pablo ambazo aliziona zisingesaidia mbele ya Yanga SC na Kocha kuona anadharaulika.
Tafadhali Simba SC hasa Msemaji Ahmed Ally usilificbe hili kwani nina uhakika nalo 100% kwakuwa ndani ya Simba SC yako nina Marafiki zangu wakubwa na wenye Ushawishi na Nguvu Kikosini.
Kwenye Kupaimara unapewa mafundisho ya ndoa utakubali?Kumbe mna wachezaji mapopoma, unakataaje mafundisho ya kocha wako sasa
hahahahahaKwenye Kupaimara unapewa mafundisho ya ndoa utakubali?
Nimeshawachokeni kwa Kunihusisha kwenu kila mara hapa JamiiForums na huyo Basha wenu. Mimi ni MINOCYCLINE na si mwingine tafadhali sawa?Dogo Gentamycin hujambo?
Nani mwenye jukumu la kufundisha kati ya kocha na mchezaji?Kwenye Kupaimara unapewa mafundisho ya ndoa utakubali?
Ndiyo anayekubandua 24/7?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]genta popoma.