Kocha Pitso Mosimane aachana na Al Ahly SC kwa makubaliano ya pande zote mbili

Kocha Pitso Mosimane aachana na Al Ahly SC kwa makubaliano ya pande zote mbili

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
1655138363086.png

Pitso Mosimane aomba kuachia nafasi ya ukocha Mkuu wa klabu ya Al Ahly.

Mosimane aliandika barua kwa bodi ya Al Ahly SC akiomba kuondoka baada ya kuwaongoza kwenye kupata mafaniko makubwa kwenye michuano mbalimbali walioshiriki.

Taarifa zinaeleza kuwa pamoja na kupoteza mechi ya fainali lakini Rais wa Al Ahly alikuwa tayari kuendelea kupata huduma ya kocha huyo.

===

1655138561083.png
Here: Al Ahly President and Board wanted Pitso Mosimane to continue with his work but he requested to leave the club and his wish was granted. I think this makes sense.

Pitso leaves in high esteem, he can be proud of all his achievements at the Club.
 
Kocha Pitso Mosimane ameachana rasmi na Klabu ya Al Ahly kwa makubaliano ya pande zote mbili.

Mosimane aliandika barua kwa bodi ya Al Ahly SC akiomba kuondoka baada ya kuwaongoza kwenye kupata mafaniko makubwa kwenye michuano mbalimbali walioshiriki.
20220613_191627~2.jpg
 
Achilia mbali mshahara, huyu Pitso sidhani kama anaweza kukubali kucheza kwenye shamba la mpunga kama la Manungu Complex
Simba wanasema atakuja kocha anayeufahamu mpira wa "Africa"
 
Pitso anaongea sana, kidomo domo chake kimemponza, alijifanya anaweza kwenda mguu kwa mguu na CAF president!!,busara na fedha ya Patrice imeshinda
 
Makolokolo Mnagonja Nn Mchukueni Mapema Huyo Kabla Hamjaanz Kusema Ligi Dhaifu Au Yanga Ananunua Mechi [emoji1]
 
Al Ahly ilikuwa inachukua makombe lakini ikawa haichezi mpira wa kumkalia kooni mpinzani . Sasa hayo mambo kwa uwekezaji wa Ahly hawajazoea. Wanataka makombe sawa lakini mpinzani aombe poo.

Walikosa ligi kuu Misri dhidi ya Zamalek wakajipooza na klabu bingwa. Wakapata klabu bingwa tena. Sasa msimu huu wamekosa klabu bingwa na ligi kuu droo/vipigo visivyofanana na Ahly kwenye ligi kuu Misri. Ingawa ligi haijaisha
 
Nyie vilaza mnaosema aje simba hivi mnajua analipwa kiasi gani...
 
Back
Top Bottom