Nani kakwambia kua Simba ni timu ? Timu gani haina kitega uchumi ?Hivi timu kama simba hata wakafundishwa na sir Alex f. inaweza kuchukua ubingwa wa Africa?
Yanga ni timu? Timu gani ya kupitisha bakuli kuomba omba mpaka nauli, achilia mbali mishaharaNani kakwambia kua Simba ni timu ? Timu gani haina kitega uchumi ?
Hapana.Inaweza ikafanya land reclamation Jangwani na yakapandwa maparachichi.Hivi timu kama simba hata wakafundishwa na sir Alex f. inaweza kuchukua ubingwa wa Africa?
Hivi huwa wanaomba nauli?Those hopeless chaps!Wanafanya nini pale?They have to go to hell!HahahahaaaYanga ni timu? Timu gani ya kupitisha bakuli kuomba omba mpaka nauli, achilia mbali mishahara
the Legend☆
[emoji2][emoji2][emoji2]game zote za mikoani mpaka sasa nauli zimetoka kwenye michango ya wanachama. Na ndo ilikua sababu ya kuwaomba TFF 1st round wapige game nyingi taifa ili wapate mda zaidi wa kujichanga kuweza kupeleka timu mikoani 2nd round. afu bado wanajitoa ufahamu na kuibeza Simba, wakati kimoyo moyo ukweli wanaujua kwa sasa Simba ipo level nyingineHivi huwa wanaomba nauli?Those hopeless chaps!Wanafanya nini pale?They have to go to hell!Hahahahaaa
Hahahahaaa! Akili zao zote kawafichia mzee Akilimali kwenye bukta!Kuna watu hapo mkuu?[emoji2][emoji2][emoji2]game zote za mikoani mpaka sasa nauli zimetoka kwenye michango ya wanachama. Na ndo ilikua sababu ya kuwaomba TFF 1st round wapige game nyingi taifa ili wapate mda zaidi wa kujichanga kuweza kupeleka timu mikoani 2nd round. afu bado wanajitoa ufahamu na kuibeza Simba, wakati kimoyo moyo ukweli wanaujua kwa sasa Simba ipo level nyingine
the Legend☆
[emoji23][emoji23][emoji23]Mi ndo maana nilishaachaga kitambo tabia ya kubishana na wanayanga kuhusu mpira. Hamna sababu ya kuendeleza ligi ya kubishana na mashabiki wa timu ambayo haituwezi kwa chochote, inakua ni uonevuHahahahaaa! Akili zao zote kawafichia mzee Akilimali kwenye bukta!Kuna wstu hapo mkuu?
Hahahahaaa! Namuita Shadeeya aje aone tunavyomsimanga.[emoji23][emoji23][emoji23]Mi ndo maana nilishaachaga kitambo tabia ya kubishana na wanayanga kuhusu mpira. Hamna sababu ya kuendeleza ligi ya kubishana na mashabiki wa timu ambayo haituwezi kwa chochote, inakua ni uonevu
the Legend☆
[emoji2][emoji2][emoji2]muite tu mkuu, ila akitaka kubishana utaendelea nae wewe. Mi nshaacha kubishana nao hao, sahivi tunapaswa kubishana na al ahly, tp mazembe, esperance, kina orlando pirates n.k. ndo level zetu hizoHahahahaaa! Namuita Shadeeya aje aone tunavyomsimanga.
Hahahahaaa! Aaaa mkuu,siyo haki.Nao ni viumbe tu.Twende nao hivyohivyo hata kwa kuitikia tu..."mmh"...!Ila mechi yao na Alliance walipata taabu sana hadi nikalikumbuka lile shairi la ..."Karudi baba mmoja kavimba yote mapaja na kutetemeka mwili"...!Horrible![emoji2][emoji2][emoji2]muite tu mkuu, ila akitaka kunishana utaendelea nae wewe. Mi nshaacha kubishana nao hao, sahivi tunapaswa kubishana na al ahly, tp mazembe, esperance, kina orlando pirates n.k. ndo level zetu hizo
the Legend☆
Hahahahaa, kazi walikua nayo jana. Ila yanga wanafki sana, siku hizi kuna kikundi kinakaaga ule upande wao wa kusini pale taifa wameibuka na style ya kuja na bendera ya Congo kuonesha support yao kwa VitaHahahahaaa! Aaaa mkuu,siyo haki.Nao ni viumbe tu.Twende nao hivyohivyo hata kwa kuitikia tu..."mmh"...!Ila mechi yao na Alliance walipata taabu sana hadi nikalikumbuka lile shairi la ..."Karudi baba mmoja kavimba yote mapaja na kutetemeka mwili"...!Horrible!