kulangwa22
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 739
- 546
Na comeback yote hiyo tumekubali kubaki nyuma kwa goli 5 kwa 4 , ila tunaweza naimani tutasonga mbele
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pia kipa, hamna kipa pale.
hapa kuna uwezekano wa Brazil kuiona kwenye Luninga tu....
haya mambo hayaendi na maombi ni Talent na juhudi tu...., ndio maana unaweza ukashinda kanisani au makaburini kama uwezo mdogo utaishia kuwatajirisha waganga.., na kupata sugu za magoti kwa kupiga magoti