GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mnapoambiwa kuwa Simba Sports Club ni Timu Kubwa Barani Afrika msiwe mnabisha ili mradi tu mbishe. Kocha wa Bandari FC ambaye aliwahi kuwa Mchezaji Mwandamizi na Tegemeo kabisa hada kwa upande wa Ushambuliaji wa Yanga SC Ben Mwalala amemaliza kila Kitu.
Akizungumza na Waandishi wa Habari tena bila hata ya ' Unafiki ' au Upendeleo wowote alisema kuwa mara baada ya Mechi yake na Simba SC Viongozi wa Yanga SC walimfuata Kumuomba aibakishe Timu yake ili wacheze nao lakini hakuwachelewesha kuwajibu ambapo aliwaambia kuwa kwa Yanga SC ilivyo sasa isingempa ' Changamoto ' ambazo alikuwa akizitaka ili Kuijenga vyema Timu yake ila alipocheza na Simba SC japo alifungwa lakini pia alifurahi na kuwashukuru Simba SC kwani walimfundisha Mpira na pia walimsaidia Kuonyesha Mapungufu ya Timu yake na akasema kuwa kama kuna Timu ambayo Kwanza imepata Kocha Mtaalam kabisa na imesajili ' Kitaalam ' kabisa kwa Ukanda huu wa Afrika Mashariki basi ni Simba Sports Club.
Namalizia tu kwa kusema Pyramid FC hata umpeleke Mwanza au Zanzibar ( Gombani Pemba / Amaan Unguja ) au umbakishe hapa hapa Dar es Salaam ila ' Kipigo ' chake kipo pale pale. Ushindi wako kwa Pyramid FC hapa Nyumbani ni Sare ( Draw ) tu na hata ukibahatisha Kumfunga basi iwe isiwe ni lazima tu na Yeye atakufunga angalau Goli moja hapa ili ' akakuue ' vizuri Kwake Misri. Kudadadeki!
Akhsante sana na mno Kocha wa Bandari FC ' Mtaalam ' Ben Mwalala kwa kusema ukweli wako juu ya Simba Sports Club.
Akizungumza na Waandishi wa Habari tena bila hata ya ' Unafiki ' au Upendeleo wowote alisema kuwa mara baada ya Mechi yake na Simba SC Viongozi wa Yanga SC walimfuata Kumuomba aibakishe Timu yake ili wacheze nao lakini hakuwachelewesha kuwajibu ambapo aliwaambia kuwa kwa Yanga SC ilivyo sasa isingempa ' Changamoto ' ambazo alikuwa akizitaka ili Kuijenga vyema Timu yake ila alipocheza na Simba SC japo alifungwa lakini pia alifurahi na kuwashukuru Simba SC kwani walimfundisha Mpira na pia walimsaidia Kuonyesha Mapungufu ya Timu yake na akasema kuwa kama kuna Timu ambayo Kwanza imepata Kocha Mtaalam kabisa na imesajili ' Kitaalam ' kabisa kwa Ukanda huu wa Afrika Mashariki basi ni Simba Sports Club.
Namalizia tu kwa kusema Pyramid FC hata umpeleke Mwanza au Zanzibar ( Gombani Pemba / Amaan Unguja ) au umbakishe hapa hapa Dar es Salaam ila ' Kipigo ' chake kipo pale pale. Ushindi wako kwa Pyramid FC hapa Nyumbani ni Sare ( Draw ) tu na hata ukibahatisha Kumfunga basi iwe isiwe ni lazima tu na Yeye atakufunga angalau Goli moja hapa ili ' akakuue ' vizuri Kwake Misri. Kudadadeki!
Akhsante sana na mno Kocha wa Bandari FC ' Mtaalam ' Ben Mwalala kwa kusema ukweli wako juu ya Simba Sports Club.