Timu wampe Wenger.Huyu Valvede ni kocha bomu kabsa pale Barca. Kaifanya timu iwe dhaifu sjapata ona. Ule mpira wa barca haupo tena timu inacheza kizembe zembe tu.Toka afike amekuwa akisajili wachezaji kwa gharama kubwa lakini kashindwa kabsa kuwatumia. Mfano ni Coutinyo,Dembele,kuna yule dogo alietoka Ajax kawa mweupe balaa. Hana mbinu timu ikizidiwa,yupo yupo tu baada ya matokeo ya Uefa dhidi ya Liverpol alitakiwa kutimuliwa
Yeri MinaTatizo la Barcelona sio kocha tu hata uongozi na wakipumbavu maana Barcelona na hata Madrid kwenye ishu za kusajili wachezaji viongozi ndo huleta wachezaji wanaowataka,kocha yeye ana nafasi ndogo sana kusajili kwa misimu 3 barcelona imezidi kuwa nyanya kwenye beki lakini hakuna jitihada wanang'ang'ania viungo na washambuliaji..
Wapigwe tu
Huyu Valvede ni kocha bomu kabsa pale Barca. Kaifanya timu iwe dhaifu sjapata ona. Ule mpira wa barca haupo tena timu inacheza kizembe zembe tu.Toka afike amekuwa akisajili wachezaji kwa gharama kubwa lakini kashindwa kabsa kuwatumia. Mfano ni Coutinyo,Dembele,kuna yule dogo alietoka Ajax kawa mweupe balaa. Hana mbinu timu ikizidiwa,yupo yupo tu baada ya matokeo ya Uefa dhidi ya Liverpol alitakiwa kutimuliwa
Barcelona bila Messi ni sawa na Ruvu shooting tu
Huyu Valvede ni kocha bomu kabsa pale Barca. Kaifanya timu iwe dhaifu sjapata ona. Ule mpira wa barca haupo tena timu inacheza kizembe zembe tu.Toka afike amekuwa akisajili wachezaji kwa gharama kubwa lakini kashindwa kabsa kuwatumia. Mfano ni Coutinyo,Dembele,kuna yule dogo alietoka Ajax kawa mweupe balaa. Hana mbinu timu ikizidiwa,yupo yupo tu baada ya matokeo ya Uefa dhidi ya Liverpol alitakiwa kutimuliwa