Tetesi: Kocha wa Bayern, Vicent Kompany anamtaka beki wa kushoto wa Mamelodi, Mudau dirisha dogo la usajili mwezi Januari 2025

Tetesi: Kocha wa Bayern, Vicent Kompany anamtaka beki wa kushoto wa Mamelodi, Mudau dirisha dogo la usajili mwezi Januari 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Taarifa za usajili nchini Afrika Kusini zinamtaja Kocha mkuu wa klabu ya FC Bayern München Vicent Kompany kuwa amepanga kumsajili mlinzi wa pembeni wa klabu ya Mamelodi Sundowns FC raia wa Afrika Kusini Khuliso Mudau katika dirisha dogo la usajili mwezi Januari.
1731499126373.png
Awali Kompany alidhamiria kumsajili Mudau akiwa kocha mkuu wa klabu ya Burnley lakini mambo hayakwenda sawa mpaka pale alipoondoka klabuni hapo.

Ambapo kwasasa ana nia ya dhati ya kumjumuisha katika kikosi chake Cha The Bavarians.
 
Taarifa za usajili nchini Afrika Kusini zinamtaja Kocha mkuu wa klabu ya FC Bayern München Vicent Kompany kuwa amepanga kumsajili mlinzi wa pembeni wa klabu ya Mamelodi Sundowns FC raia wa Afrika Kusini Khuliso Mudau katika dirisha dogo la usajili mwezi Januari.
Awali Kompany alidhamiria kumsajili Mudau akiwa kocha mkuu wa klabu ya Burnley lakini mambo hayakwenda sawa mpaka pale alipoondoka klabuni hapo.

Ambapo kwasasa ana nia ya dhati ya kumjumuisha katika kikosi chake Cha The Bavarians.
Age?
 
Market wise atapata mashabiki wengi sana south binafsi nitafurahi sana ikiwa hivyo
 
Back
Top Bottom