Kocha wa Coastal Union abwaga manyanga

Kocha wa Coastal Union abwaga manyanga

sembo

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
4,350
Reaction score
3,451
Baada ya timu ya Coastal Union kufanya vibaya katika michuano ya ligi kuu.. Kocha Mkuu wa timu hiyo Joseph Lazaro Leo amejiuzuru kuitumikia timu hiyo.
Sababu alizotoa ni mwenendo mbaya wa timu uliotokana na usajiri mbovu.. Pia sababu nyingine ni "njaa" kwani wachezaji wanacheleshewa marupu rupu yao.

Source: Sports Xtra.
 
Back
Top Bottom