njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Ni mfaransa, karibu sana simba kwanza tunataka utuhakikishie points atleast 4 toka kwa hao waajiri wako wa zamani.
Kocha wa klabu ya Al Merreikh ya Sudan
Didier Gomes da Rosa
ameachana na klabu hiyo.
Taarifa zinadai huenda akawa kocha wa mabingwa wa Tanzania
Simba SC.
Taarifa zinadai huenda akawa kocha wa mabingwa wa Tanzania