njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
hata mimi hapa nimefurahiHongera zenu
Hivi ulisema ni tetesi et?Ni mbrazil,karibu sana simba kwanza tunataka utuhakikishie points atleast 4 toka kwa hao waajiri wako wa zamani
Kocha wa klabu ya Al Merreikh ya Sudan Didier Gomes da Rosa ameachana na klabu hiyo
Taarifa zinadai huenda akawa kocha wa mabingwa wa TanzaniaSimba SC
View attachment 1684189
sasa kama club haijatangaza rasmi kwa nini mimi ni confirm? ILA ELEWA HUYO NDO KOCHA WA SIMBA MDA WOWOTE LEO ANATANGAZWA RASMIHivi ulisema ni tetesi et ?
hata kwa common sense jamani Ibenge anajiungaje simba?yuko na team ya taifa CHAN na kuna uwezekano kawa huko hadi february ,tarehe 13 tuna mechi na as vita,we unaona inaingia akilini kweli?Hata Jana mlisema Ibenge.
Tusubiri tuone, kwani si suala la muda tu au utaki.sasa kama club haijatangaza rasmi kwa nini mimi ni confirm? ILA ELEWA HUYO NDO KOCHA WA SIMBA MDA WOWOTE LEO ANATANGAZWA RASMI
leo wanatangaza kesho inabidi awepo mazoezini na teamTusubiri tuone, kwani si suala la muda tu au utaki.
Blaza inatosha sasa.leo wanatangaza kesho inabidi awepo mazoezini na team
duhBlaza inatosha sasa.
ni sehemu gani ukikorofishana na CEO unapandishwa cheo au unapigiwa makofi?Bora angeendelea huko kwenye mkataba unaoleweka hapa akikorofishana kidogo na SII OO out
CEO ndio nani?ni sehemu gani ukikorofishana na CEO unapandishwa cheo au unapigiwa makofi?
Nadhani itakuwa kwenye ukoo waoni sehemu gani ukikorofishana na CEO unapandishwa cheo au unapigiwa makofi?
Barabara etiCEO ndio nani?
Anaongeaje kimakonde na Mickson?Ni mfaransa,karibu sana simba kwanza tunataka utuhakikishie points atleast 4 toka kwa hao waajiri wako wa zamani...
Subiri picha ianze basi mbona una haraka hivyo ww ? Kwani unawahi wapi ?Anaongeaje kimakonde na Mickson?