Kocha wa Esperance awahofia Simba

Hii so hatua ya kocha kujiamini. Kuingia robo maana yake uko bora. Sio hatua ya mzaha.

Japo viwango vinatofautiana Sana.
mkuu unadhani makolo watatoboa wakipangwa na esperence
 
MACHOKO mna TABU sana,kumbukeni hilo ni Kombe la KLABU BINGWA na sio Kombe la KUSHIRIKISHWA,kwamba ushikishwe ukuta Kombe la Wanaume kisha udondokee Kombe la MACHOKO kama SHIRIKISHO
Kwnn msimu uliopita mlikuwa mna roga uwanjani
 
Timu zilizoshika nafasi ya pili katika makundi ya shirikisho

Kundi A: USM Alger: Huyu alifanikiwa kuongoza kundi D la shirikisho mwaka 2018...aliibugiza Yanga goli 4-0 pale jijini algers katika mechi ya kwanza tu ya ufunguzi wa kundi...itoshe kusema kuwa yanga aliburuza mkia akiwa na jumla ya alama 4 nyuma ya Gormahia,Rayon sport na USM Alger

Kundi B: Rivers United ....huyu aliwazamisha mwiko utopolo nyumbani na ugenini

Kundi C: Pyramids...licha ya Yanga kuihamisha mechi ikachezwe kirumba mwaka 2019...Pyramids walikimaliza kipakti cha Salama kwa goli tayu za kibabe na kule misri waliwafunga utopolo bao 2....Yanga aliaga mashindano ya shirikisho kwa staili hiyo.


Hivyo yanga anakwenda kukutana na wajanja wake na itoshe kusema kuwa wameumaliza mwendo
 
Uchambuzi wangu
Huyu kocha naona anataka Wana lunyasi waombee wapangwe nae .....then waingie kwenye mfumo
Leo umeandika kwa upole maana ameongea kocha mwenyewe. By the way, droo ndio inayoamua, sio maombi
 
Mpira sio historia mkuu


Tp Mazembe aliyemtesa dunduka FC ......ndie huyu aliyepigwa na wanach
 
Hao wote ni vigogo wa soka barani afrika,ni lazima waogopane,ni hulka ya vigogo hiyo.
Hujawahi hata kucheza fainali achilia mbali kubeba Kombe afu unajiita Kigogo, hayo ndio matatizo ya AKILI sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…