joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
- Thread starter
-
- #41
Hahahaha, hahahaha, hahahaha.Nilijua tu [emoji4] Lazima utaninukuu.
Joto la jiwe, kwa nini unaniogopa hivyo siku hizi?
Mtabishana bure kama watoto na huyo jamaa,huwa hana any proof,Sasa umekua ukiimba hapa kwamba hatuna pesa na umeshindwa kuleta ushadi kwamba mlimlipa kocha wenu wa kitambo ...
Mimi nilisha kuonyesha kocha wa kitambo tulimlipa sh60m, kwahivyo so far ni Tanzania ndo haina pesa!
Proof gani wakati huyo kocha amewadhalilisha na mnashindwa kumfurusha?Mtabishana bure kama watoto na huyo jamaa,huwa hana any proof,
Kazi ni kupayuka kama kindergarten kid.
Blah blah blah kumbe ni nyinyi ndo hamna hela !!!!! Bure kabisa!Tunazungumzia huyu kocha wa sasa ambaye anawadhalilisha kila siku, huyo mliyemlipa sina uhakika kama aliwadhalilisha, sasa kwasababu huyo wa kitambo mlimlipa kwahiyo huyu wa sasa akiendelea kuwadhalilisha kwenu hamuoni shida?. Kinachoniuma ni kuona nchi yenu inadhalilishwa kwasababu ya 50M, "it pains very much".
Mbona yule mchina alipowaita Nyani mlimtimua within 48hrs, iweje huyu mnasema mnahitaji muda?, kitendo alichokifanya kinahitaji kuchukuliwa hatua haraka, serikali yenu haijatoa tamko lolote kuhusu kauli yake hii ya udhalilishaji, hii ni dalili kwamba haijawagusa kwasababu mumezoea kudhalilishwa, kama wachina kule SGR wanawachapa viboko na kuwadhalilisha na hakuna hatua zozote mnazochukua, tatizo umasikini ndio unaowasababisha mshindwe kumsimamisha kazi na kumfurusha nchini. Yaani matusi yote Yale lakini hata kumsimamisha kazi hamuwezi kwa kuogopa kulipa shs. 50M?, kweli umasikini ni tatizoBlah blah blah kumbe ni nyinyi ndo hamna hela !!!!! Bure kabisa!
Huyu kocha wetu ametamka haya maneno juzi juma pili, Bado hata wiki haijaisha , mambo ya serekali husonga pole pole, we tulia hapo utajionea....
Lakini kwasasa tunajua Tz haikumlipa kocha wa kitambo hadi Sasa.. inasikitisha Sana kuona nchi ya kidikteta inavyoendeshwa .
Common sense tu, sasa angeondokaje bila ya kulipwa.Let's ushahidi kwamba mlimlipa kocha mlie mfuta kazi, wacha story nyingi.
Hujamwelewa, amekurudishia lawama, anasema amunike hakulipwa, namwuliza asingelipwa asingeondoka, angegoma kama huyo mzungu waoTunazungumzia huyu kocha wa sasa ambaye anawadhalilisha kila siku, huyo mliyemlipa sina uhakika kama aliwadhalilisha, sasa kwasababu huyo wa kitambo mlimlipa kwahiyo huyu wa sasa akiendelea kuwadhalilisha kwenu hamuoni shida?. Kinachoniuma ni kuona nchi yenu inadhalilishwa kwasababu ya 50M, "it pains very much".
Embu leta hiyo evidence kwamba hatujamlipa, sisi tunayo evidence ya kocha wenu kutolipwa na kuwadhalilisha. Leta complains za amunikeBlah blah blah kumbe ni nyinyi ndo hamna hela !!!!! Bure kabisa!
Huyu kocha wetu ametamka haya maneno juzi juma pili, Bado hata wiki haijaisha , mambo ya serekali husonga pole pole, we tulia hapo utajionea....
Lakini kwasasa tunajua Tz haikumlipa kocha wa kitambo hadi Sasa.. inasikitisha Sana kuona nchi ya kidikteta inavyoendeshwa .
Alisikika mlevi furani kutoka jalala za kiberaKutoka kwa Mdanganyika ambaye hana hata underwears mbili.Get a life mister,unachoka mapema sana.
Naja kibera sitaki maneno mingiUsidanganyike we' mdanganyika. Kwa upande wa michezo Kenya ndiye King, hana mpinzani EA.
.Riadha
.Mchezo wa raga
.Mpira wa kikapu
.Mpira wa wavu
.Soka n.k
.....
, Kenyans have higher quality of life than other East Africans
_-------
"Kudhalilishwa na kufedheheshwa Na huyo Mzungu". I have had a look at the history of your coaches in the recent past and I have come to one simple conclusion: Nyinyi Midanganyika ni wapumbavu tu. Mumukuwa ni historia ya Kuwa na makocha wazungu tangu enzi za jadi. Iweje leo Mzungu amekuwa mkejeli. Sadfa ilioje!Kwahiyo kwasababu mnaogopa kulipa 50M, mumechagua kudhalilishwa na kufedheheshwa na huyo Mzungu?, heri lawama kuliko fedhea. Kenya hamna pesa ya kumlipa, na yeye analijua hilo ndio sababu anawadharau na kuwatukana kila siku.
Usidanganyike we' mdanganyika. Kwa upande wa michezo Kenya ndiye King, hana mpinzani EA.
.Riadha
.Mchezo wa raga
.Mpira wa kikapu
.Mpira wa wavu
.Soka n.k
.....
, Kenyans have higher quality of life than other East Africans
_-------
Unaweza ukawa na uchumi mzuri lakini kiupande wa footbal mkawa na hali ngumu
Hivi unaelewa kinachozingumzwa?, hatuzungumzii rangi ya ngozi ya huyo kocha, tunachozungumza ni kitendo chake cha kusema hamuwezi kumfukuza kwasababu hamna pesa ya kumlipa, Maneno hayo ni udhalilishaji wa nchi yenu, hata kama yamesemwa na kocha toka Kenya(Jaluo), bado yanabaki kuwa udhalilishaji."Kudhalilishwa na kufedheheshwa Na huyo Mzungu". I have had a look at the history of your coaches in the recent past and I have come to one simple conclusion: Nyinyi Midanganyika ni wapumbavu tu. Mumukuwa ni historia ya Kuwa na makocha wazungu tangu enzi za jadi. Iweje leo Mzungu amekuwa mkejeli. Sadfa ilioje!
LETA USHAHIDI MLIMLIPA KOCHA WENU WACHA KUKIMBIA !!! πMbona yule mchina alipowaita Nyani mlimtimua within 48hrs, iweje huyu mnasema mnahitaji muda?, kitendo alichokifanya kinahitaji kuchukuliwa hatua haraka, serikali yenu haijatoa tamko lolote kuhusu kauli yake hii ya udhalilishaji, hii ni dalili kwamba haijawagusa kwasababu mumezoea kudhalilishwa, kama wachina kule SGR wanawachapa viboko na kuwadhalilisha na hakuna hatua zozote mnazochukua, tatizo umasikini ndio unaowasababisha mshindwe kumsimamisha kazi na kumfurusha nchini. Yaani matusi yote Yale lakini hata kumsimamisha kazi hamuwezi kwa kuogopa kulipa shs. 50M?, kweli umasikini ni tatizo
Kutoka kwa waziri wenu , kocha wenu mlimfukuza na hamkumlipa chochoteEmbu leta hiyo evidence kwamba hatujamlipa, sisi tunayo evidence ya kocha wenu kutolipwa na kuwadhalilisha. Leta complains za amunike
Kwahiyo ninyi mtaendelea kuvumilia huo unyanyasaji wa huyo kocha hadi mtakapopokea ushahidi wa Tanzania kumlipa kocha?, hivi wewe kwa upumbavu wako, kocha anaweza kuondoka bila kulipwa na akae kimya?, kama inawezekana, jaribuni kumfukuza huyo anayewadhalilisha bila kumlipa pesa yake muone kitakachowakuta. Kshs 50M pekee ndio inawafanya mnashindwa kumfurusha?.LETA USHAHIDI MLIMLIPA KOCHA WENU WACHA KUKIMBIA !!! π
Epic fail !!!!!!!! Umeshindwa na hoja. ha!Kwahiyo ninyi mtaendelea kuvumilia huo unyanyasaji wa huyo kocha hadi mtakapopokea ushahidi wa Tanzania kumlipa kocha?, hivi wewe kwa upumbavu wako, kocha anaweza kuondoka bila kulipwa na akae kimya?, kama inawezekana, jaribuni kumfukuza huyo anayewadhalilisha bila kumlipa pesa yake muone kitakachowakuta. Kshs 50M pekee ndio inawafanya mnashindwa kumfurusha?.
Hoja ni ninyi kudhalilishwa na huyo kocha kwa kushindwa kumlipa stahiki zake, ndio somo la Uzi huu.Epic fail !!!!!!!! Umeshindwa na hoja. ha!