Kocha wa Harambee stars aivimbia Kenya kwa sababu ya umasikini wa Kenya

Hivi nikuulize, kwani YESU amekufa ndio useme kwamba alifufuka Kenya?
 
Sasa federation na serikali wapi na wapi...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]km walipewa pesa wakazipiga pole yao...wamvumilie tu
"If the federation wants to fire me, let them fire me but again if paying my salary is an issue, will they manage to pay out my contract?"
Dah, dharau hizi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kisha jamaa wane like...kweli waarabu wa pemba hujuana kw vilemba...comment ya kipumba km hii sijawai iona tokea nizaliwe
Kenya ni masikini sana ila wao hawapendi kusikia kama wao masikini,lakini ukija kwenye uhalisia mitaani kwao daaah maisha ni magumu balaa,nyumba zao mbaya yaani mabanda full slums....
 
Maskini...kila uzi wako unaangukia pua..kwn siku hz maisha yanakupiga chenga nn?haiwezekani kila siku ni wewe2...nashuku hapakosi kamkono ka mtu..manake wana jf hawakutendei haki kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji706][emoji706][emoji706]
 
Maskini...kila uzi wako unaangukia pua..kwn siku hz maisha yanakupiga chenga nn?haiwezekani kila siku ni wewe2...nashuku hapakosi kamkono ka mtu..manake wana jf hawakutendei haki kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Inawezekana kuna mkono wa mtu itanibidi niende kwa karumanzila
 
Kisha jamaa wane like...kweli waarabu wa pemba hujuana kw vilemba...comment ya kipumba km hii sijawai iona tokea nizaliwe
Sasa kama post ya kipumba mbona umei-quote???... bora hata wewe uliepanga single room hapo mombasa slum,jamaa zako wa nairobi wanaishi kwa kibanda ile parasite house...
 
Tulia mchakazwe kwenye uzi wenu...wacha kelele nyingi...
Njoo mombasa niku host kijana...naona siku hz una shobo na mm[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa kama post ya kipumba mbona umei-quote???... bora hata wewe uliepanga single room hapo mombasa slum,jamaa zako wa nairobi wanaishi kwa kibanda ile parasite house...
 
Tulia mchakazwe kwenye uzi wenu...wacha kelele nyingi...
Njoo mombasa niku host kijana...naona siku hz una shobo na mm[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Niache kwenda sydney nije mombasa slum!!..dogo maisha yako we magumu sana halafu unataka battle na mimi...kwa kukadiria ile suti yako ulinunua(I don't know sijui ulipewa..!!)..anyway kwa makadirio ulinunua around usd 8 πŸ˜‚πŸ˜‚..obviously hio si nguo ya kuvaa binadamu mwenye hadhi yake,ambaye anaweza ku-host mtu... lakini umejaribu kwa kiasi chako...
 
Heheeee!!sasa unasema uende ndio iweje....hta level za big bro wangu hufikii...waenda majuu kula bata wakati watu wanaishi hko na likizo wanregea kuja kula bata na familia zao...
 
Nihifadhie hta hii pia...ile siku nitakuwa nazihitaji nitakuitisha unitumie
 
Heheeee!!sasa unasema uende ndio iweje....hta level za big bro wangu hufikii...waenda majuu kula bata wakati watu wanaishi hko na likizo wanregea kuja kula bata na familia zao...
A big bro ..!??
It should be you..πŸ‘‰πŸ‘‰πŸ‘‰πŸ‘‰πŸ‘‰
 
Nihifadhie hta hii pia...ile siku nitakuwa nazihitaji nitakuitisha unitumieView attachment 1176866

H aaah shaaaaaaaaaaa ahhhhhaaaaaa boy don't wanna make me laugh...

Guys,the boy this time has come just like chris brown !!!!..daaaaaamnn a chris brown from mombasa slum dammmn what a fu*uuuck..🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣..




Fella they don't put on fake silver...maan tryna be a fucking serious young boy..πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ wtf!!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nihifadhie hyo...[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] unafikiria mm ni wale vijana wa dar wanaishi kwao mpka wanaota midevu...punguza jazba...nihifadhie kijana wangu[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]jamaa langu la kumbu kumbu
A big bro ..!??
It should be you..[emoji117][emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]
Utaumia sana na maisha yangu kaka...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hyo hapo fake silver...nihifadhie
 

Ok chris brown...
 
Kipindi kile ulivyo weka picha umevaa suti tulikupa darasa uka elewa somo. Sasa na leo chukua hili, bracelet na saa ziki valiwa mkono mmoja inakua uchafu. Usipende kuzidisha kwenye kutupia madini, inaondoa mvuto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…