GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kwenye Mchezo wa Jana ( Wenyeji wa Mechi ) walikuwa ni KMC ambao kwa sababu zao wenyewe waliamua Kuukimbia Uwanja wao wa Nyumbani wa Uhuru Mkoani Dar es Salaam na kuamua kuipeleka Mechi hii CCM Kirumba Mkoani Mwanza.
Baada ya Utangulizi huu sasa GENTAMYCINE nawawekeeni Nukuu ya Kauli ya Kocha wa KMC baada ya Kufungwa na Simba SC jana CCM Kirumba.....
"Wenzetu ( Wapinzani wetu Simba SC ) wao walitangulia Siku nyingi tu kuwepo hapa ila Sisi tumetoka mbali na bado tuna Uchovu wa Safari pamoja na Ratiba ngumu ya Ligi Kuu"
Popote pale mlipo Madaktari wa Magonjwa ya Akili ikiwapendeza anzeni pia kufanya Ukaguzi wa Wagojwa wenu kwani huenda hata huku katika Soka la Tanzania ( Bongo ) hasa hii NBC Premier League kukawa na Wateja wenu wengi kwa upande wa Makocha.
Baada ya Utangulizi huu sasa GENTAMYCINE nawawekeeni Nukuu ya Kauli ya Kocha wa KMC baada ya Kufungwa na Simba SC jana CCM Kirumba.....
"Wenzetu ( Wapinzani wetu Simba SC ) wao walitangulia Siku nyingi tu kuwepo hapa ila Sisi tumetoka mbali na bado tuna Uchovu wa Safari pamoja na Ratiba ngumu ya Ligi Kuu"
Popote pale mlipo Madaktari wa Magonjwa ya Akili ikiwapendeza anzeni pia kufanya Ukaguzi wa Wagojwa wenu kwani huenda hata huku katika Soka la Tanzania ( Bongo ) hasa hii NBC Premier League kukawa na Wateja wenu wengi kwa upande wa Makocha.