Kocha wa Timu ya taifa ya Libya ambaye amewahi kuzifundisha kwa nyakati tofauti timu ya taifa ya Kenya na vilabu vya Usm Alger na Es Setif bwana Adel Amrouchi amekunwa na kiwango cha kiungo Fei Toto
Mwalimu huyu anamshauri Fei Toto aondoke Afrika haraka sana asipoteze muda sababu sehemu sahihi kwake ni ulaya kutokana na uwezo wake mkubwa wa kusakata kabumbu
Mwalimu huyu anamshauri Fei Toto aondoke Afrika haraka sana asipoteze muda sababu sehemu sahihi kwake ni ulaya kutokana na uwezo wake mkubwa wa kusakata kabumbu