Anaondokaje Afrika akiwa Yanga? Wachezaji wanaotoka Simba ndio huondoka Afrika.Kocha wa Timu ya taifa ya Libya ambaye amewahi kuzifundisha kwa nyakati tofauti timu ya taifa ya Kenya na vilabu vya Usm Alger na Es Setif bwana Adel Amrouchi amekunwa na kiwango cha kiungo Fei Toto
Mwalimu huyu anamshauri Fei Toto aondoke Afrika haraka sana asipoteze muda sababu sehemu sahihi kwake ni ulaya kutokana na uwezo wake mkubwa wa kusakata kabumbu
View attachment 913629
Anaondokaje Afrika akiwa Yanga? Wachezaji wanaotoka Simba ndio huondoka Afrika.
Mrisho Ngasa.Taja mmoja aliyetokea Simba aka Mbumbumbu FC.
shaban nonda..muulize zidane na roberto carlos wanamjuaAnaondokaje Afrika akiwa Yanga? Wachezaji wanaotoka Simba ndio huondoka Afrika.
Kocha wa Timu ya taifa ya Libya ambaye amewahi kuzifundisha kwa nyakati tofauti timu ya taifa ya Kenya na vilabu vya Usm Alger na Es Setif bwana Adel Amrouchi amekunwa na kiwango cha kiungo Fei Toto
Mwalimu huyu anamshauri Fei Toto aondoke Afrika haraka sana asipoteze muda sababu sehemu sahihi kwake ni ulaya kutokana na uwezo wake mkubwa wa kusakata kabumbu
View attachment 913629
Maharage ya wapi?Mashabiki maharage bhana[emoji849][emoji849][emoji849]
Nonda Shabani alikuwa Simba?Anaondokaje Afrika akiwa Yanga? Wachezaji wanaotoka Simba ndio huondoka Afrika.
alitoroka hakuuzwa na yangaNonda Shabani alikuwa Simba?
Yanga walimuuza Vaal professionals ya South Afrika pamoja na Bakari Malima ..yaliyotokea historyalitoroka hakuuzwa na yanga
Umri kaka ana 20 yrs old...ndio maana Coach kasema kwa umri wake...Basi akina Dilunga, Kichuya na Chama waende mbinguni kabisa
Tatizo huku kwetu kaka chanel ni ndogo sana,.. angalau basi wangekuwa wanaenda hata Sudan,South,Morocco n.k lkn hata huko tu napo inakuwa ngumu, sasa ulaya si ndio BIKO kabisa.Umri kaka ana 20 yrs old...ndio maana Coach kasema kwa umri wake...
alitoroka boss hakuuzwa alienda kweli south kwa kutorokaYanga walimuuza Vaal professionals ya South Afrika pamoja na Bakari Malima ..yaliyotokea history