G gwantemala Member Joined Aug 9, 2016 Posts 22 Reaction score 5 Aug 12, 2016 #1 Hawa mijamaa walizoea kudanganya ulimwengu sasa dunia ni kijiji wanaumbuka tu kumbe si wakimbiaji wamezoea kukimbiza ming'ombe umasaini uko haya
Hawa mijamaa walizoea kudanganya ulimwengu sasa dunia ni kijiji wanaumbuka tu kumbe si wakimbiaji wamezoea kukimbiza ming'ombe umasaini uko haya
Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 182,097 Reaction score 1,099,383 Aug 12, 2016 #2 gwantemala said: Hawa mijamaa walizoea kudanganya ulimwengu sasa dunia ni kijiji wanaumbuka tu kumbe si wakimbiaji wamezoea kukimbiza ming'ombe umasaini uko haya Click to expand... Unaongelea nini mkuu? Kocha wa Kenya karudishwa kwa nini? Doping ama? Inaonekana umefurahi balaa!
gwantemala said: Hawa mijamaa walizoea kudanganya ulimwengu sasa dunia ni kijiji wanaumbuka tu kumbe si wakimbiaji wamezoea kukimbiza ming'ombe umasaini uko haya Click to expand... Unaongelea nini mkuu? Kocha wa Kenya karudishwa kwa nini? Doping ama? Inaonekana umefurahi balaa!
chinekeeee JF-Expert Member Joined Mar 26, 2015 Posts 1,787 Reaction score 2,894 Aug 12, 2016 #3 Nimesikia alitoa sample ya mkojo wake akajifanya wa mkimbiaji