Kocha wa Simba akifika Januari yuko Msimbazi mkanichape

Kocha wa Simba akifika Januari yuko Msimbazi mkanichape

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Rejea kichwa cha habari hapo juu

Unabiii auishi mpaka utimie

Kocha mpya wa Simba simuoni akifikaa Januari 2025

Si kwa nia mbaya Benchika alienda na benchi lake kuuguza mkewe

Huyu ataondoka kuuguza mkwewe, mtaniambia

Ushauri
Tatafuta soon plan B ya kocha Simba
 
REJEA KICHWA CHA HABARI HAPO JUU

UNABIII AUISHI MPAKA UTIMIE

KOCHA MPYA WA SIMBA SIMWON AKIFIKAA JAN 2025

SI KWA NIA MBAYA BENCHIKA ALIENDA NA BENCHI LAKE KUUGUZA MKEWE

HUYU ATAONDOKA KUUGUZA MKWEWE MTANIAMBIA

USHAURI
TTAFUTN SOON PLAN B YA KOCHA SIMBA
Plan B, si Mgunda yupo. Siku Simba inapata kocha mzuri ni siku ambayo anayehusika/kuhusika na kuleta makocha hatokuwepo kwenye nafasi hiyo.
 
We ndio lazima tukuzike kabla ya januari...lazima ufe tena kibudu unayetembea wewe
 
Rejea kichwa cha habari hapo juu

Unabiii auishi mpaka utimie

Kocha mpya wa Simba simuoni akifikaa Januari 2025

Si kwa nia mbaya Benchika alienda na benchi lake kuuguza mkewe

Huyu ataondoka kuuguza mkwewe, mtaniambia

Ushauri
Tatafuta soon plan B ya kocha Simba
Makolo wenzako watakupopoa.
 
Ndo uKae vizuri na vyura wenzio ili mchapane mkiwa dimbwini.
 
Back
Top Bottom