Plan B, si Mgunda yupo. Siku Simba inapata kocha mzuri ni siku ambayo anayehusika/kuhusika na kuleta makocha hatokuwepo kwenye nafasi hiyo.REJEA KICHWA CHA HABARI HAPO JUU
UNABIII AUISHI MPAKA UTIMIE
KOCHA MPYA WA SIMBA SIMWON AKIFIKAA JAN 2025
SI KWA NIA MBAYA BENCHIKA ALIENDA NA BENCHI LAKE KUUGUZA MKEWE
HUYU ATAONDOKA KUUGUZA MKWEWE MTANIAMBIA
USHAURI
TTAFUTN SOON PLAN B YA KOCHA SIMBA
Chezea wasambaa wewe🤣Hahahaha mgunda anachukua timu njiani
👆🔨Uchapwe vip
Ebu nieleweshe
Makolo wenzako watakupopoa.Rejea kichwa cha habari hapo juu
Unabiii auishi mpaka utimie
Kocha mpya wa Simba simuoni akifikaa Januari 2025
Si kwa nia mbaya Benchika alienda na benchi lake kuuguza mkewe
Huyu ataondoka kuuguza mkwewe, mtaniambia
Ushauri
Tatafuta soon plan B ya kocha Simba
Umetoa ahadi nyepesi. Usiseme tukakuchape, sema kabisa tukakuchapie mkeKocha wa Simba akifika Januari yuko Msimbazi mkanichape
Povu la nini?We ndio lazima tukuzike kabla ya januari...lazima ufe tena kibudu unayetembea wewe
HahahahahaUmejihami kwanini usiseme miezi 3?