BANDOKITITA
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,484
- 2,852
Robertino aliamua ku risk kibarua chake ili kulinda kibarua Cha Lakred.
Afadhali aliamua kumpanga kipenzi cha Wanalunyasi (Manula) na kumuacha Lakred ili asije kufukuzwa usiku wa manane.
Hivi ingekuwa vipi kama Robertino angempanga Lakred na akafungwa hizo 5G. Nadhani angetembea kwa mguu hadi nchini kwao. Kwa kuliona Hilo kocha kaona bora lawama ziangukie kwa mzawa Mwarabu wa watu abaki salama. Huu ndo uprofesa sasa wa kucheza na nyakat na mindsets za mashaabiki.
Afadhali aliamua kumpanga kipenzi cha Wanalunyasi (Manula) na kumuacha Lakred ili asije kufukuzwa usiku wa manane.
Hivi ingekuwa vipi kama Robertino angempanga Lakred na akafungwa hizo 5G. Nadhani angetembea kwa mguu hadi nchini kwao. Kwa kuliona Hilo kocha kaona bora lawama ziangukie kwa mzawa Mwarabu wa watu abaki salama. Huu ndo uprofesa sasa wa kucheza na nyakat na mindsets za mashaabiki.