Kocha wa Simba amemdhalilisha Pascal Wawa, jambo hili halikubaliki

Uyu kocha anatabia mbovu, ata utolewe ufafanuzi wa namna gani kile alichokifanya ndio tabia halisi, Kwakua utovu wa adabu ni tabia yake, kunasiku atafanya Jambo la hovyo zaidi. Ni swala la muda tu.
Nawashangaa sana wanaomtetea
 
Anayefanya mabadiliko ni kocha mkuu, kama yale mabadiliko yalikuwa siyo maagizo yake yeye ndio amedhalilishwa.
 
Tanzania watu wengi wanapenda timu sio mpira kama mchezo wenyewe ndio maana hat sheria hawazijui.
Mihemko tu ndo inawasumbua, kanuni hawazijui wanadhani mambo yanafanyika kienyeji enyeji tu
 
Kama unaamini udhalilishaji ni kuvuliwa bukta tu basi tupo na level tofauti kabisa ya kupambanua mambo.
Ni kweli hatuwezi tukawa sawa kwenye upambanuzi wa mambo hususani kwenye hii mijadala ambayo wengi wenu mnatumia hisia
 
Uyu kocha anatabia mbovu, ata utolewe ufafanuzi wa namna gani kile alichokifanya ndio tabia halisi, Kwakua utovu wa adabu ni tabia yake, kunasiku atafanya Jambo la hovyo zaidi. Ni swala la muda tu.
Napat harufu ya Utopolo hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Uyu kocha anatabia mbovu, ata utolewe ufafanuzi wa namna gani kile alichokifanya ndio tabia halisi, Kwakua utovu wa adabu ni tabia yake, kunasiku atafanya Jambo la hovyo zaidi. Ni swala la muda tu.
Nakukumbusha
Kmc 1 Simba 4!
Pia nakukumbusha
Kmc 0 utopolo 2
Mlitaka aingize sub zizidi ili mje mseme kocha mbumbumbu[emoji3] mmekwama! Tuna kazi na yule refa alioamua kuruhusu wachezaji nusunusu kuingia ili atuvuruge!
Ufafanuzi umetolewa na watu wa mpira wameuelewa inatosha ninyi msioelewa endeleeni kupiga soga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…