Kocha wa Simba atimuliwe

Kocha wa Simba atimuliwe

ze future

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2020
Posts
204
Reaction score
299
Huyu kocha naona huu ndo muda muafaka kwa uongozi wetu kumtimua maana kila siku anazoendelea kubakia timu nayo inaendelea kuwa mbovu.
#kishingoout#kishingorudikwenu
 
Anaona mapungufu anashindwa kurekebisha mzamiru hakuwa mchezoni lakini kambakisha hadi mwisho kwa kifupi kiungo kilipwaya
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Acheni uswahili nyie.Kama unaona mapungufu na hujui ni yapi halafu unakosoa kwa hisia tu.Acheni kushabikia mpira kuna taarabu zipo zitawafaa sana.
 
Tajiri kasema atasajili toka popote kwa gharama yoyote.
Vipi Ajib hakucheza leo au kama kawaida ana family problem?

Kishingo haondoki leo wala kesho. Bado yupo sana.
 
Simba ni nzuri, hatari magazetini, social media na redioni.

Uwanjani bado sana.
 
Back
Top Bottom