๐๐ฅ๐ข๐ฌ๐ก๐๐ฐ๐๐ก๐ข ๐ค๐ฎ๐จ๐ง๐ ๐ฐ๐๐ฉ๐ข ๐ค๐จ๐๐ก๐ ๐๐ค๐๐๐ก๐ฎ๐ค๐ฎ๐ #๐๐จ๐ฆ๐๐ [emoji471] ๐๐๐๐ง๐ ๐ก๐๐ฅ๐๐๐ฎ ๐ฎ๐ฌ๐ข๐ค๐ฎ ๐ฐ๐๐ค๐ ๐๐ค๐๐ฏ๐ฎ๐ง๐ฃ๐ ๐ฆ๐ค๐๐ญ๐๐๐?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unaambiwa hii imetokea pale mjini... ukoloni
View attachment 2976862
Ipo sahihi...japo sikumbukiMiaka hiyo aliyekuwa kocha wa Real Madrid VICENTE DEL BOSQUE aliondolewa ukocha pale Madrid kwa kuwa tu ijapokuwa walipata ubingwa lakini walifungwa na Barcelona na hata Atletico Madrid. Pia walipata kwa jasho na damu yaani dakika za majeruhi. Kilichofuata kwa Madrid mashabiki tulikiita LAANA YA DEL BOSQUE. kwa kuwa miaka miwili mfululizo Madrid hakupata kombe la Ubingwa wa Hispania. Ingawa aliweza kupata vikombe vingine. Mtanisahihisha Iwapo sijaileta sawa sawa kumbukumbu hii. mwaka sikumbuki pia.
Fact kutoka katika mitandao zinaeleza kuwa ilikuwa mwaka 2003, mwisho wa msimu. Na sababu ni mkataba wake uliisha na hawakutaka kurenew viongozi, sababu ya kushindwa katika Champions League. wachezaji walitaka abaki ila Rais wa timu Florentino Perez hakutaka.Ipo sahihi...japo sikumbuki
Perez alikuwa na msimamo sanaFact kutoka katika mitandao zinaeleza kuwa ilikuwa mwaka 2003, mwisho wa msimu. Na sababu ni mkataba wake uliisha na hawakutaka kurenew viongozi, sababu ya kushindwa katika Champions League. wachezaji walitaka abaki ila Rais wa timu Florentino Perez hakutaka.
Hawezi kupanga kikosi,hana mbinu,habadilikiKisa alichukua super cup
Mimi ndio sijaelewa kabisaMiaka hiyo aliyekuwa kocha wa Real Madrid VICENTE DEL BOSQUE aliondolewa ukocha pale Madrid kwa kuwa tu ijapokuwa walipata ubingwa lakini walifungwa na Barcelona na hata Atletico Madrid. Pia walipata kwa jasho na damu yaani dakika za majeruhi. Kilichofuata kwa Madrid mashabiki tulikiita LAANA YA DEL BOSQUE. kwa kuwa miaka miwili mfululizo Madrid hakupata kombe la Ubingwa wa Hispania. Ingawa aliweza kupata vikombe vingine. Mtanisahihisha Iwapo sijaileta sawa sawa kumbukumbu hii. mwaka sikumbuki pia.
Hata mtoto mdogo shabiki wa simba hawezi kupanga kikosi kama anavyopanga benchikaTatizo Makolo wanaangalia majina