Justine Marack
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 612
- 1,698
Mimi sio Mchambuzi wala Kocha, natoa maoni yangu kwa uzoefu ninaoona kwa kile kinachofanywa na makocha wengine.
Katika mchezo wa jana Ahly na Simba, Sub ya Kenedy ilikuwa sub muafaka kwa wakati sahihi, lakini nimeona makocha wengi wakitaka kuzuia, nasi option ya kwanza ni kumiliki mpira.
Sasa kwa jana nilitarajia option ya kwanza ingekuwa kumuingiza Mzamiru ili kufanya pale kati Simba wamiliki dimba kwa kusaidiana na akina Ngoma na Kanoute, pale Mzamiru angafanya mchezo kurudi kwa Simba. Option ya pili ndio hiyo ya kuingizwa beki kama Kenedy.
Kitendo cha kuingia Kenedy inamaana kuwa Kocha alitaka kuwazuia Ahly katika mstari wa nyuma mbele ya lango. Hii ni kuwa unakaribisha mashambulizi dhidi ya wachezaji wenye quality kama wale Waarabu.
Yote kwa yote Mchezo ulikia mzuri. Hongera Robertinho.
Katika mchezo wa jana Ahly na Simba, Sub ya Kenedy ilikuwa sub muafaka kwa wakati sahihi, lakini nimeona makocha wengi wakitaka kuzuia, nasi option ya kwanza ni kumiliki mpira.
Sasa kwa jana nilitarajia option ya kwanza ingekuwa kumuingiza Mzamiru ili kufanya pale kati Simba wamiliki dimba kwa kusaidiana na akina Ngoma na Kanoute, pale Mzamiru angafanya mchezo kurudi kwa Simba. Option ya pili ndio hiyo ya kuingizwa beki kama Kenedy.
Kitendo cha kuingia Kenedy inamaana kuwa Kocha alitaka kuwazuia Ahly katika mstari wa nyuma mbele ya lango. Hii ni kuwa unakaribisha mashambulizi dhidi ya wachezaji wenye quality kama wale Waarabu.
Yote kwa yote Mchezo ulikia mzuri. Hongera Robertinho.