covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
Mpira anaocheza simba ni wa hovyo na ni style ya huyu mwalimu mpya Roberto.
Wachezaji wapo ila hawapangwi ktk sehemu zao wachezaji wana struggle sana kucopy style ya kocha huyu na hawapo teyri.
Yanini kung'ang'ania mfumo usioendana na style ya wachezaji waliopo.
Kwa kikosi cha simba kama mgunda ndio angepanga team leo tulikuwa na uhakika na goli zaidi ya 3 pale..
Kwa hili linaloendelea nashauri huyu kocha aondoke tu atuachie team yetu isee.
Wachezaji wapo ila hawapangwi ktk sehemu zao wachezaji wana struggle sana kucopy style ya kocha huyu na hawapo teyri.
Yanini kung'ang'ania mfumo usioendana na style ya wachezaji waliopo.
Kwa kikosi cha simba kama mgunda ndio angepanga team leo tulikuwa na uhakika na goli zaidi ya 3 pale..
Kwa hili linaloendelea nashauri huyu kocha aondoke tu atuachie team yetu isee.