Wachezaji wazee wale,atafutiwe wachezaji,apewe mudaMpira anaocheza simba ni wa hovyo na ni style ya huyu mwalimu mpya Roberto.
Wachezaji wapo ila hawapangwi ktk sehemu zao wachezaji wana struggle sana kucopy style ya kocha huyu na hawapo teyri.
Yanini kung'ang'ania mfumo usioendana na style ya wachezaji waliopo.
Kwa kikosi cha simba kama mgunda ndio angepanga team leo tulikuwa na uhakika na goli zaidi ya 3 pale..
Kwa hili linaloendelea nashauri huyu kocha aondoke tu atuachie team yetu isee.
Yaan MO anasajili wachezaji.Anasajili kocha.Halafu anaonga waamuz.Du!!Tanzania tutalisikia tu kombe la dunia .Mpira anaocheza simba ni wa hovyo na ni style ya huyu mwalimu mpya Roberto.
Wachezaji wapo ila hawapangwi ktk sehemu zao wachezaji wana struggle sana kucopy style ya kocha huyu na hawapo teyri.
Yanini kung'ang'ania mfumo usioendana na style ya wachezaji waliopo.
Kwa kikosi cha simba kama mgunda ndio angepanga team leo tulikuwa na uhakika na goli zaidi ya 3 pale..
Kwa hili linaloendelea nashauri huyu kocha aondoke tu atuachie team yetu isee.
Ubora wa timu kiuchezaji au ubora wa timu ki-wachezaji?Kushinda sio issue ila ubora wa team hakuna kabisa huoni mipango kabisa.
Team hii hii ndio mgunda alivuka nayo group stage na mpira ulikuwa mzuri sana iweje leo mpira ubadilike ghafla baada ya kuja Roberto..Ubora wa timu kiuchezaji au ubora wa timu ki-wachezaji?
Na vipi ukilinganisha wachezaji na uchezaji wao? Bado huyo Robertinho ana kosa?
Hivi kocha anatakiwa kuendana na wachezaji au ni wachezaji ndio wanatakiwa kuendana na kocha?Team hii hii ndio mgunda alivuka nayo group stage na mpira ulikuwa mzuri sana iweje leo mpira ubadilike ghafla baada ya kuja Roberto..
Jibu lipo wazi kocha Roberto ameleta mfumo mpya ambao ni mgumu kwa wachezaji wanatruggle sana uwanjani.
Scars Kalpana denooJ OKW BOBAN SUNZU Ghazwat ....Mpira anaocheza simba ni wa hovyo na ni style ya huyu mwalimu mpya Roberto.
Wachezaji wapo ila hawapangwi ktk sehemu zao wachezaji wana struggle sana kucopy style ya kocha huyu na hawapo teyri.
Yanini kung'ang'ania mfumo usioendana na style ya wachezaji waliopo.
Kwa kikosi cha simba kama mgunda ndio angepanga team leo tulikuwa na uhakika na goli zaidi ya 3 pale..
Kwa hili linaloendelea nashauri huyu kocha aondoke tu atuachie team yetu isee.
Inafurahisha kuona kuwa pamoja na ushindi lakini hamna FURAHA.Mpira anaocheza simba ni wa hovyo na ni style ya huyu mwalimu mpya Roberto.
Wachezaji wapo ila hawapangwi ktk sehemu zao wachezaji wana struggle sana kucopy style ya kocha huyu na hawapo teyri.
Yanini kung'ang'ania mfumo usioendana na style ya wachezaji waliopo.
Kwa kikosi cha simba kama mgunda ndio angepanga team leo tulikuwa na uhakika na goli zaidi ya 3 pale..
Kwa hili linaloendelea nashauri huyu kocha aondoke tu atuachie team yetu isee.