Kocha wa Simba utanishukuru baada ya mechi

1.Manula
2.Kapombe
3.Zimbwe
4.Onyango
5.Wawa
6.Nyoni
7.Miquisonne
8.mkude
9.Bocco/Kagere/Mugalu
10.Chama
11.Morisson

Hiki kinatakiwa kuwa kikosi dhidi ya Plateau Utd nje ndani
Daah, Onyango, Wawa na Nyoni wote vikongwe! Wakikutana na washambuliaji vijana watakimbizwa sana hawa wazee! Msijidanganye na ushindi wa jana dhidi ya Coast union!

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
1.Manula
2.Kapombe
3.Zimbwe
4.Onyango
5.Wawa
6.Nyoni
7.Miquisonne
8.mkude
9.Bocco/Kagere/Mugalu
10.Chama
11.Morisson

Hiki kinatakiwa kuwa kikosi dhidi ya Plateau Utd nje ndani
Toa nyoni ingiza Ame hapo
 
Kosi liko poa sana ila mkude na zimbwe wataharibu, trust me.
Nakubaliana na wewe mkude hawezi kiungo mkabajina ndio maana beki inaonekana mbovu Shabalala nachelewa kurudi na pia hawezi kujiposition tunapoenda kwenye ligi ya mabingwa makosa yao yanaonekana wazi
 
1.Manula
2.Kapombe
3.Zimbwe
4.Onyango
5.Wawa
6.Nyoni
7.Miquisonne
8.mkude
9.Bocco/Kagere/Mugalu
10.Chama
11.Morisson

Hiki kinatakiwa kuwa kikosi dhidi ya Plateau Utd nje ndani
Hao mabeki wako wakikutana na vi Kisinda watatema ndimi!
 
Unamwongelea TK Master aliyenyooshwa na Namungo Jana au TK mwingine?
Hahaha wee kalia ushabiki tuu but nakwambia kwa wale head of opposition scouts tayari kwa tukio lile walishaona a weakness to exploit.

Football is about two things...quantitative superiority and qualitative superiority....sasa hapo kwa hiyo ya pili, oposition wataweka a fast player against a slow defender.

Usichukulie poa mzee ile champions league attention to detail sio kama ligi yetu hii ambapo mistakes are not punished and weaknesses not exposed
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…