Hijui serikali inavyojifunga funga?SOURCE OF INFORMATION NI IPI? MAANA JANA NILISIKIA MSEMAJI WA TFF ANAKANUSHA/HAKUBALIANI NA HIYO HABARI
AISEEHijui serikali inavyojifunga funga?
Walichukuliwa ila kuna walio achwa wenye uwezo tu wakachukuliwa wengine wenye uwezo mdogo kutoka mbwinde huko ili ionekane timu imeballance na jamaa aridhike ili kocha aendelee kulinda kibarua chake....Kwani hawakuchukuliwa?
Hao wa Simba na Yanga miaka zaid ya 50 wameshiriki mashindani, ni nini wamewahi kuleta kama mafanikio. Ushabiki mwingine unamfanya mtu aonekane wa ajabu sanaNchi ya kipumbavu sana hii....aliyeamuru wasichukuliwe wachezaji wa Simba na Yanga anajulikana...watu wanajifanya kufukuza kocha...huu unafiki hadi lini nchi hii? kwanza kajitahidi kupata point nne huko CHAN.
Kwani hao wachezaji wa simba na Yanga walishafanya maajabu gani???Nchi ya kipumbavu sana hii....aliyeamuru wasichukuliwe wachezaji wa Simba na Yanga anajulikana...watu wanajifanya kufukuza kocha...huu unafiki hadi lini nchi hii? kwanza kajitahidi kupata point nne huko CHAN.
Unamjua Gazza? Niambia ni lini aliwahi kuwa na nidhamu?Mpira nidhamu, bila nidhamu hakuna maendeleo.
Hao wavuta bangi mnao wategemea walete maajabu uwanjani, mtasubiri sana.
Acha kushikwa masikio na wachambuzi maandazi,jitahidi kuwa na mawazo yanayojitegemea.Hao wa Simba na Yanga miaka zaid ya 50 wameshiriki mashindani, ni nini wamewahi kuleta kama mafanikio. Ushabiki mwingine unamfanya mtu aonekane wa ajabu sana.
Ndo mawazo yako yameishia hapo? kwamba kama pombe haijakulewesha ni bora ujaribu kulewa maji? huoni hayo ni mawazo mgando na utakunywa bahari nzima bila kulewa.Kwani hao wachezaji wa simba na Yanga walishafanya maajabu gani???
Tatizo hatuna mising ya football na michezo mingne full stop.
Nimekuuliza, miaka yote 50 wametuletea mafanikio gani? naomba jibu. Katika uzuri wao unaouona, miaka hiyo yote nime mfano wa mafanikio waliotuletea kama nchi kwa kipindi chote hichoAcha kushikwa masikio na wachambuzi maandazi,jitahidi kuwa na mawazo yanayojitegemea.
Yaani uache wachezaji wazuri kisa wanacheza Simba Azam na Yanga?Uache bunduki utoke na rungu kisa vita iliyopita ulishindwa?sitaki kuamini kama uwezo wako wa kufikiri ndo umekomea hapo.
Swali lako halina uhalali wa kujibiwa unless unithibitishie kuwa hao wachezaji A walikua wanakwenda mashindanoni kuleta mafanikio ambayo wachezaji B wameshindwa kuyaleta,lakini hao hao wachezaji B ndo waliofuzu kwenda huko CHAN.Nimekuuliza, miaka yote 50 wametuletea mafanikio gani? naomba jibu
Kwaiyo kama hawajaleta, kwani wengine wakienda kuna tatizo gani? Au wao siyo watanzania ilawale tu wa simba na yanga? Dunia ya soka sasa hivi ni mafanikio,kama hakuna kwanini tuzidi kuwatumia wao? Au wao ndo wana uhalali wa utanzania zaidi kuliko vilabu vingine? Simaanishi kukubaliana kwamba mtu asichukuliwe sababu tu anachezea timu flani, lakini pia siyo kwa kuwa anachezea timu flani basi yeye ndo anastahili.Swali lako halina uhalali wa kujibiwa unless unithibitishie kuwa hao wachezaji A walikua wanakwenda mashindanoni kuleta mafanikio ambayo wachezaji B wameshindwa kuyaleta,lakini hao hao wachezaji B ndo waliofuzu kwenda huko CHAN.
Walituletea challenge [emoji85]Nimekuuliza, miaka yote 50 wametuletea mafanikio gani? naomba jibu. Katika uzuri wao unaouona, miaka hiyo yote nime mfano wa mafanikio waliotuletea kama nchi kwa kipindi chote hicho
Tutake radhi kama mmeo/mchepuko/ buzi wako ana tabia hizo ni huyo siyo woteHata mbadilishe kocha. Watanzania soccer hamna kitu. Watanzania wanaweza umbea na ngono.Wallah hapo wanachukua kombe.
Basi itakua hukunielwa hapo awali...nilichosema ni kuwa kuna wachezaji wameachwa kwa sababu wanacheza club hizo kubwa lakini si kwa sababu ya uwezo.....suala siyo wachezaji wa timu kubwa kuachwa suala ni w achezaji wenye uwezo kuachwa kisa wanacheza timu fulani ili kuweka ballance kitu ambacho si sawa.Kwaiyo kama hawajaleta, kwani wengine wakienda kuna tatizo gani? Au wao siyo watanzania ilawale tu wa simba na yanga? Dunia ya soka sasa hivi ni mafanikio,kama hakuna kwanini tuzidi kuwatumia wao? Au wao ndo wana uhalali wa utanzania zaidi kuliko vilabu vingine? Simaanishi kukubaliana kwamba mtu asichukuliwe sababu tu anachezea timu flani, lakini pia siyo kwa kuwa anachezea timu flani basi yeye ndo anastahili.
Hivi akina Nchimbi wanabakia na goalkeeper wanapaisha, hapo ni uzoefu gani unahitajika kutoka bench la ufundi?Mkuu, unakosea mno. Wachezaji walijituma sana kwa heshima ya nchi, kilichokuwa kinakosekana ni ujuzi wa benchi la ufundi.