Kocha wa Taifa Stars, Etienne Ndayiragije afungashiwa virago vyake

Huyu wanayemkusudia kumpa nafasi ya ukocha hana jipya..!Ni yele yale tu.
 
Nchi ya kipumbavu sana hii....aliyeamuru wasichukuliwe wachezaji wa Simba na Yanga anajulikana...watu wanajifanya kufukuza kocha...huu unafiki hadi lini nchi hii? kwanza kajitahidi kupata point nne huko CHAN.
Wachezaji gani wa hizo timu ambao unadhani wangeleta muuniza?
 
Yani Tanzania tulifulia mpaka tumechukua Kochs toka Burundi.. Ila tatizo ni mfumo tuu
 
anaeiwezea taifa stars ni Marcio Maximo wengine ni utopolo tuu
 
Wachezaji gani wa hizo timu ambao unadhani wangeleta muuniza?
Swali gani hili? we mwanamichezo gani usiyemjua Sure boy,Metacha,Iddi Nado au Tshabalala nk.
Na point yangu siyo wacheze kwa sababu ni wachezaji wa timu fulani bt wacheze kwa sababu ya uwezo wao...siyo waachwe kwasababu mtu fulani hajisikii hivyo anatoa tu tamko lake ilhali hajawahi hata kupiga danadana mbili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…