Mkumbwa Jr
JF-Expert Member
- Mar 23, 2016
- 2,668
- 3,751
Leo timu ya taifa ( taifa stars) imenyolewa kwa chupa mbele ya watanzania pamoja na hamasa iliyokua uwanjani na mitandaoni
Binafsi siamini katika hamasa kuliko kujishuhulisha.
Imewezekanaje mpira uliopigwa leo na Taifa stars ichabangwe goli mbili kwa buyu? Tena mbele ya waziri mkuu Majaliwa na mzee Jakaya Kikwete . Hii ni aibu kubwa sana na ndio maana watu wanaona bora washabikie Simba na Yanga kuliko kutonesha mioyo yao kila siku.
Kocha gani asiye badilika? Kama wazawa hawawezi sasa ndio iwe kweli Taifa Stars ni KICHWA CHA MWENDAWAZIMU kila anaetaka kujifunza kunyoa anapewa nafasi?
Mtazamo wangu nikwamba
1: Kuna kasumba ya usimba na uyanga ndani ya timu ya taifa. Kwanini wachezaji kutoka klabu nyingine kama coastal, Singida n.k hawajaitwa?
2: Kuna ugonjwa wa kuamini majina yaleyale kila siku kuliko kuongeza nguvu kwa wachezaji au majina mageni kwenye timu yetu ya taifa. Mbona Awesu hamjamuita? Au anacheza chini ya kiwango?
3: Kukosekana kikosi kipana kwa timu ya taifa imekua tatizo na niaibu ambayo inamuelemea kocha.
4: Nikwanini serikali isiajiri kocha mwenye weledi,asiyefanya kazi kwa hisia badala yake aendane na uhalisia? Unakuaje na kocha wa timu ya taifa ambaye kikosi chake kinatabirika? Yaani hakuna hata wachezaji wa kufanyiwa mabadiliko? AIBU YAKO KUBWA SANA KOCHA NA BENCHI LAKO LA UFUNDI. AIBU KWENU TFF
Soma Pia: Full Time: Tanzania 0- 2 DR Congo | Qualification AFCON 2025 | Benjamin Mkapa Stadium | 15 Oktoba, 2024
Binafsi siamini katika hamasa kuliko kujishuhulisha.
Imewezekanaje mpira uliopigwa leo na Taifa stars ichabangwe goli mbili kwa buyu? Tena mbele ya waziri mkuu Majaliwa na mzee Jakaya Kikwete . Hii ni aibu kubwa sana na ndio maana watu wanaona bora washabikie Simba na Yanga kuliko kutonesha mioyo yao kila siku.
Kocha gani asiye badilika? Kama wazawa hawawezi sasa ndio iwe kweli Taifa Stars ni KICHWA CHA MWENDAWAZIMU kila anaetaka kujifunza kunyoa anapewa nafasi?
Mtazamo wangu nikwamba
1: Kuna kasumba ya usimba na uyanga ndani ya timu ya taifa. Kwanini wachezaji kutoka klabu nyingine kama coastal, Singida n.k hawajaitwa?
2: Kuna ugonjwa wa kuamini majina yaleyale kila siku kuliko kuongeza nguvu kwa wachezaji au majina mageni kwenye timu yetu ya taifa. Mbona Awesu hamjamuita? Au anacheza chini ya kiwango?
3: Kukosekana kikosi kipana kwa timu ya taifa imekua tatizo na niaibu ambayo inamuelemea kocha.
4: Nikwanini serikali isiajiri kocha mwenye weledi,asiyefanya kazi kwa hisia badala yake aendane na uhalisia? Unakuaje na kocha wa timu ya taifa ambaye kikosi chake kinatabirika? Yaani hakuna hata wachezaji wa kufanyiwa mabadiliko? AIBU YAKO KUBWA SANA KOCHA NA BENCHI LAKO LA UFUNDI. AIBU KWENU TFF
Soma Pia: Full Time: Tanzania 0- 2 DR Congo | Qualification AFCON 2025 | Benjamin Mkapa Stadium | 15 Oktoba, 2024