Abu_yazid
JF-Expert Member
- Mar 28, 2014
- 3,435
- 4,245
Viongozi wa TFF tuondoleeni hiyo takataka... hana nia njema na Timu yetu
Ni dhahiri kabisa huyu kocha hatutakii mema sisi watanzania, ambao ni mashabiki wa timu yetu ya Taifa..
Mechi na cape verde alipanga kikosi kibovu tukafungwa.. karudi nyumbani karekebisha kikosi tukashinda..
Leo amekuja kurudia yaleyale.. baada ya kupanga kikosi cha ushindi yeye anapanga kikosi cha majaribio
Huyu kocha hatufai atimuliwe arudi kwao kuuza nyanya
Ni dhahiri kabisa huyu kocha hatutakii mema sisi watanzania, ambao ni mashabiki wa timu yetu ya Taifa..
Mechi na cape verde alipanga kikosi kibovu tukafungwa.. karudi nyumbani karekebisha kikosi tukashinda..
Leo amekuja kurudia yaleyale.. baada ya kupanga kikosi cha ushindi yeye anapanga kikosi cha majaribio
Huyu kocha hatufai atimuliwe arudi kwao kuuza nyanya