TANZIA Kocha wa zamani wa Simba, Dkt. Adel Zrane afariki Dunia

TANZIA Kocha wa zamani wa Simba, Dkt. Adel Zrane afariki Dunia

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
GKKYsr9WwAE_qDN.jpeg

Snapinsta.app_330336111_939558973877328_5944441718736016740_n_1080.jpg

Snapinsta.app_269884076_451828349657497_3648870786674029981_n_1080.jpg

Snapinsta.app_272801129_113979361050035_3249805593644448237_n_1080.jpg

Snapinsta.app_194179885_387011129256517_2401189874399597119_n_1080.jpg

Snapinsta.app_194117809_496863628080950_2649388333177358575_n_1080.jpg


 
Asanteni kwa pole zenu, kwa niaba ya familia ya Simba tunazipokea salamu hizo japo msiba huu umetuumiza sana.

Mungu aiweke mahali pema peponi roho ya marehemu.
 
Yani mpaka Sasa Haijulikani kifo chake kimetokana na Nini Maana Hakuwa mgonjwa. APR waliocheza mechi jumapili nae Alikuwepo uwanjani akiwafanyisha wachezaji Mazoezi ya kupasha misuli Jana wakapumzika Leo mchana walitakiwa kurudia mazoezini

Dereva wake alipompitia kwenye apartment anayokaa Kwa akili ya kumpeleka mazoezini aliira lakini hakujibiwa kitu hivyo akawajulisha Viongozi wa APR ambao nao walifika lakini walikua gundua amefarika Akiwa Kitandani baada ya kumchungulia Dirishani kwake
 
  • Masikitiko
Reactions: K11
Back
Top Bottom