Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Yamekuwa ayo tena wazee wa boli linatembea, Mechi na ihefu mnaanza kutafutanaOndoa haraka sana wachezaji hawa dirisha dogo.
1.Jimmyson Mwinuke
2.Gadiel Michael
3.Erasto Nyoni,
4.Jonas Mkude
5.Sadio Kanoute
6.Peter Banda
7.Victor Akpan
8.Nelson Okwa
9.Mohamed Quattara
10.John Bocco
11.Denis Kibu
Hawa ni wachezaji wa kawaida sana, wanachokitafuta viongozi watakipata, uchaguzi hauko mbali.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Hapo abaki Sadio kanute na Peter Banda tu.Ondoa haraka sana wachezaji hawa dirisha dogo.
1.Jimmyson Mwinuke
2.Gadiel Michael
3.Erasto Nyoni,
4.Jonas Mkude
5.Sadio Kanoute
6.Peter Banda
7.Victor Akpan
8.Nelson Okwa
9.Mohamed Quattara
10.John Bocco
11.Denis Kibu
Hawa ni wachezaji wa kawaida sana, wanachokitafuta viongozi watakipata, uchaguzi hauko mbali.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Aliyesababisha faulo alifunga azizi ki ni MzamiruHapo abaki Sadio kanute na Peter Banda tu.
Mkude ni Yanga lialia.
Kama mnakumbuka yeye ndio aliyesababisha faulo za makusudi ili Simba ifungwe.
Alisababisha faulo ya makusudi Morrison akatufunga.
Juzi alisababisha faulo nyingine isiyo ya lazima Azizi Ki akatufunga.
Mkude ni mamluki asichezeshwe kabisa katika mechi za Simba na Yanga.
Mkude ni Yanga lialia
Aliyesababisha faulo ni mkude ? Unazngua bossHapo abaki Sadio kanute na Peter Banda tu.
Mkude ni Yanga lialia.
Kama mnakumbuka yeye ndio aliyesababisha faulo za makusudi ili Simba ifungwe...
Faulo aliyo tufunga Morisoni alisababisha Mkude.Aliyesabbabisha faulo ni mkude ? Unazngua boss
Mkuu, kwenye orodha ya mleta mada hapo juu ..ni Putin na Banda pekee ambao unaweza kusimama na kuwakingia kifua...wengine hao wanastahili kuondoka haraka sanaKuna kitu kinaitwa mpito, kuna muda mchezaji anacheza mpira wa hovyo sio kwasababu ya kiwango
Mfano Israh aliwahi kutufungisha kwenye mechi ya KMC na siku ile alicheza mechi vibaya.
Lakini baada ya pale katika mechi zilizofuata alikuwa bora na wote tulipendezewa na kiwango chake
Mzamiru Yassin ambaye humu tulikuwa tuliimba kuwa hana kiwango, ameshuka, hajitumi, umri umeenda nk. Lakini mwana Simba gani ambaye saizi anaweza akatoka mbele kudai Mzamiru ni mbovu?
Kwa hiyo hapa mi naona busara ni kwamba pale inapoonekana mchezaji fulani haoneshi kiwango basi ni vyema akafanyiwa sub au akawa anatokea nje ili apate recovery nzuri
Nb: Ikumbukwe kuwa sipingi kuwa hatuhitaji kusajili wachezaji wengine
Napinga sababu nyepesi ya kuachana na mchezaji kwa kuangalia performance ya mechi mbili alizocheza chini ya kiwango
Faulo aliyo tufunga Morisoni alisababisha Mkude.
Faulo aliyofunga Azizi K alisababisha Mkude.
Wewe unasemaje.
itabidi utume Cv zako simbaOndoa haraka sana wachezaji hawa dirisha dogo.
1.Jimmyson Mwinuke
2.Gadiel Michael
3.Erasto Nyoni,
4.Jonas Mkude
5.Sadio Kanoute
6.Peter Banda
7.Victor Akpan
8.Nelson Okwa
9.Mohamed Quattara
10.John Bocco
11.Denis Kibu
Hawa ni wachezaji wa kawaida sana, wanachokitafuta viongozi watakipata, uchaguzi hauko mbali.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Wewe jamaa ni mnafiki huku unatetea Kibu Denis kule unasema Azizi K ni mbovu [emoji23][emoji23]Kuna kitu kinaitwa mpito, kuna muda mchezaji anacheza mpira wa hovyo sio kwasababu ya kiwango
Mfano Israh aliwahi kutufungisha kwenye mechi ya KMC na siku ile alicheza mechi vibaya.
Lakini baada ya pale katika mechi zilizofuata alikuwa bora na wote tulipendezewa na kiwango chake
Mzamiru Yassin ambaye humu tulikuwa tuliimba kuwa hana kiwango, ameshuka, hajitumi, umri umeenda nk. Lakini mwana Simba gani ambaye saizi anaweza akatoka mbele kudai Mzamiru ni mbovu?
Kwa hiyo hapa mi naona busara ni kwamba pale inapoonekana mchezaji fulani haoneshi kiwango basi ni vyema akafanyiwa sub au akawa anatokea nje ili apate recovery nzuri
Nb: Ikumbukwe kuwa sipingi kuwa hatuhitaji kusajili wachezaji wengine
Napinga sababu nyepesi ya kuachana na mchezaji kwa kuangalia performance ya mechi mbili alizocheza chini ya kiwango
Hapo abaki Sadio kanute na Peter Banda tu.
Mkude ni Yanga lialia.
Kama mnakumbuka yeye ndio aliyesababisha faulo za makusudi ili Simba ifungwe.
Alisababisha faulo ya makusudi Morrison akatufunga.
Juzi alisababisha faulo nyingine isiyo ya lazima Azizi Ki akatufunga.
Mkude ni mamluki asichezeshwe kabisa katika mechi za Simba na Yanga.
Mkude ni Yanga lialia
Kinyonge mnoKuna kitu kinaitwa mpito, kuna muda mchezaji anacheza mpira wa hovyo sio kwasababu ya kiwango
Mfano Israh aliwahi kutufungisha kwenye mechi ya KMC na siku ile alicheza mechi vibaya.
Lakini baada ya pale katika mechi zilizofuata alikuwa bora na wote tulipendezewa na kiwango chake
Mzamiru Yassin ambaye humu tulikuwa tuliimba kuwa hana kiwango, ameshuka, hajitumi, umri umeenda nk. Lakini mwana Simba gani ambaye saizi anaweza akatoka mbele kudai Mzamiru ni mbovu?
Kwa hiyo hapa mi naona busara ni kwamba pale inapoonekana mchezaji fulani haoneshi kiwango basi ni vyema akafanyiwa sub au akawa anatokea nje ili apate recovery nzuri
Nb: Ikumbukwe kuwa sipingi kuwa hatuhitaji kusajili wachezaji wengine
Napinga sababu nyepesi ya kuachana na mchezaji kwa kuangalia performance ya mechi mbili alizocheza chini ya kiwango
Acha ubishi wachezaji wenu wana perform game zaifu tu hadi mtibwa ipewe red card mbili bila ivyo game zote ngumu kidogo mnazidiwa shida ya Simba kiungo hakunaKuna kitu kinaitwa mpito, kuna muda mchezaji anacheza mpira wa hovyo sio kwasababu ya kiwango
Mfano Israh aliwahi kutufungisha kwenye mechi ya KMC na siku ile alicheza mechi vibaya.
Lakini baada ya pale katika mechi zilizofuata alikuwa bora na wote tulipendezewa na kiwango chake
Mzamiru Yassin ambaye humu tulikuwa tuliimba kuwa hana kiwango, ameshuka, hajitumi, umri umeenda nk. Lakini mwana Simba gani ambaye saizi anaweza akatoka mbele kudai Mzamiru ni mbovu?
Kwa hiyo hapa mi naona busara ni kwamba pale inapoonekana mchezaji fulani haoneshi kiwango basi ni vyema akafanyiwa sub au akawa anatokea nje ili apate recovery nzuri
Nb: Ikumbukwe kuwa sipingi kuwa hatuhitaji kusajili wachezaji wengine
Napinga sababu nyepesi ya kuachana na mchezaji kwa kuangalia performance ya mechi mbili alizocheza chini ya kiwango
Faulo ya yanga alicheza mzamiruHapo abaki Sadio kanute na Peter Banda tu.
Mkude ni Yanga lialia.
Kama mnakumbuka yeye ndio aliyesababisha faulo za makusudi ili Simba ifungwe.
Alisababisha faulo ya makusudi Morrison akatufunga.
Juzi alisababisha faulo nyingine isiyo ya lazima Azizi Ki akatufunga.
Mkude ni mamluki asichezeshwe kabisa katika mechi za Simba na Yanga.
Mkude ni Yanga lialia