ii gasia ndo mana babu LVG anajikaliaga zake chini tu mwanzo mwisho
Misuti ile sio visuti... ghaaaaaaarama bobuuu sio kununua vitambaa vya mita kadhaa halafu ukampa fundi.zile ni fashionable design and very expensive.Sometimes na wenyewe wanavaa vi-suti vya kubana mno