Kodi katika pikipiki uagizapo nje ikoje?

Kodi katika pikipiki uagizapo nje ikoje?

James Hungury

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2013
Posts
825
Reaction score
612
Wadau habar
Nataka kujua unaponunua pikipiki i mean be forward,hivi inapofika bandarin ushuru wake unakuwa vipi?maana nimechek tra website kwenye calculator yao haijielezi kuhusu pikipiki,je kodi. Yake huwa vipi?thanks
 
Nimetumia dakika kadhaa sielewi alichoandika mpk niliposoma content. Nimebaki nacheka tu.
 
I'm sorry jmn wait naandika thread hii nilikuwa natumia sm ya MTU nicyoizoea.really sorry..msaada kwa majibu
 
huyu atakua ni yule mtoto wa Kombani asiejua kiswahili
 
ata mm nahtaj kujua kwa kwel napenda bajaj pulsar 200ns bei kule kwa india uki convet ki huku ni mil 2 na kitu bei ya shipin cjajua hata kodi naomben kujua
 
ata mm nahtaj kujua kwa kwel napenda bajaj pulsar 200ns bei kule kwa india uki convet ki huku ni mil 2 na kitu bei ya shipin cjajua hata kodi naomben kujua
ulifikia wapi hii issue
 
Back
Top Bottom