Kodi kwenye Solar panels & Wind Turbines


ha ha haha

Haya mkuu,

Huko kwenye dini niachie mimi. Ninaapa kupambana na wale wote wenye mipango ya siri na ya wazi (kama GT) ya kuigeuza Tanzania kuwa nchi ya kiislam. Mwenyezi MUNGU nisaidie... amen
 

Rev. karibu tena ukumbini baada ya kupotea kwa kipindi kirefu kidogo. Tatizo la viongozi wetu ni wagumu mno kufanya maamuzi ambayo yatakuwa na maslahi makubwa kwa nchi yetu.

Hili la kutumia umeme wa jua na upepo linaweza kupunguza sana gharama za umeme Tanzania ambazo sasa nadhani ni kubwa kuliko katika nchi yoyote ile ya Afrika Mashariki, kati na kusini na si ajabu Afrika nzima.

Tutajikanyakanyaga katika maswala haya ya umeme wa jua na upepo mpaka majirani zetu wote watakuwa wameshalishughulikia ndipo na "viongozi" wetu watakapoanza labda kulizungumzia.
 

tatizo ya turbine ni upepo lakini solar panel jua ni guranteee
unajua wafanya biashara bongo wanapenda kupata faida mara kumi na si sababu ya kodi wala nini
hawa watashusha kodi kukiwa kuna ushindani kwenye soko, na kitu ambacho hajui kuwa gharama kubwa zinawapunguzia wateja...

vitu vingi bongo ni bei mbaya sana..
 
Kwanza kabla sijaendelea na mjadal huu nginependa kuchukua fursa hii kuiomba radhi ofisi ya waziri mkuu na waziri mkuu mwenyewe kwa kutoa taarifa isyo sahihi kuwa hawana website kama ambavyo ikulu isivyo na website

Kusema ukweli ilikuwa ni oversight upande wangu na vile vile nadhani ningefanya google searh ningeipata...lakini pia ikumbukwe ni wajibu wao kutufahamisha sisi walipa kodi namna ya kuwasiliana nao

kwa hili nawapa hongera lakini kuna karsorio nyingi nimezigundua mle ambazo zinahitaji maelezo...(nadhani nishajua kwa nini Ikulu haitakui kuwa na website maana tutakuja gundua mambo ambayo wakina Salva hawataki tuyajue)
 



Naamini kama kuna vijana ambao ni business savy then wangefungua viwanda vya ku assemble hizi wind turbines na solar panels

kusema ukweli issue ya nishati mbadala ni muhimu sana

labda tungewasiliana na jamaa wa REA wakatupa enough data na kama uko tayari mimi mwenzio niko tayari twenzetu tukafungue...soko la watu milioni 30 lipo pale nyumbani linatusubiri

Mimi nishaongea na jamaa wa SUZLON na wako tayari kufanya biashara na sisi

mengine tuwasiliane in private
 
Kwa taarifa yangu, kodi ilifutwa kwenye all alternative energy sources... nadhani hata kwenye generators pia. TRA wanasemaje? Bado wanashindilia?
 
TANESCO ishakuwa donda ndugu.... Serikali iliachie donda hili liponeeee!
 


sasa huu ndo tunaita uungwana.
 
haya kuna mtu Dar kaweka Wind Turbine nyumbani kwake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…