Luqman mohamedy
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 899
- 1,231
Bussness account(akaunti za biashara) ni akaunti ya kawaida kabisa kama nyingine inayotumia jina"brand" ya biashara fulani.
Zinaweza kuwa pia akaunti binafsi za watu maarufu na za watu wenye idadi kubwa ya mafollowers na viewers zinazotumika kutangaza matangazo ya biashara kwa malipo.
Wamiliki wa account hizi kwenye nchi zilizoendelea kama US wanahesabiwa kama watu WALIOJIAJIRI(selfemployed) na wanalazimika kulipa kodi "self-employment tax" pale wanapoingiza mkwanja kupitia account zao 'pay-as- u earn'.
Kwa wale wenye account hizi facebook na instagram nk itawalazimu wao na makampuni waliyoingia ubia nayo walipe kodi kulingana na thamani ya tangazo lao ambayo pia inategemeana na thamani ya mwenye account na idadi ya followers.
Mfano Lebron James anaingiza mpaka Mil 80 akipost tangazo moja kwenye account yake binafsi ya instagram huku Cristiano Ronaldo,Messi na Neymar Jr wanaingiza mpaka mil 110 kwa kupost tangazo moja kwenye account zao binafsi za mitandao ya kijamii na inawalazimu kulipa mpaka kodi ya 20% kwa kiasi walichoingiza.
Sasa kama utaweza kuwalipisha kodi wamiliki wa blog na account za youtube(hapa inajumuisha hizo wanazoita online TV) za biashara kulingana na matangazo,idadi ya viewers na idadi ya walioperuzi(kiasi cha megabytes alizoingiza) na malipo kutoka youtube headquater unapaswa uwalipishe na wanaopost matangazo ya biashara kwa malipo kwenye instagram na other social network kwa kuwa baadhi yao wanapata pesa mpaka mara 30 ya muuza matunda anayeuza sokoni na analipa ushuru kama kodi yake kwa kazi anayoifanya toka alfajiri mpaka magharibi.Otherwise wasipolipa labda tuwaite MACHINGA WA MITANDAONI maana machinga ndio hawalipi kodi.
Zinaweza kuwa pia akaunti binafsi za watu maarufu na za watu wenye idadi kubwa ya mafollowers na viewers zinazotumika kutangaza matangazo ya biashara kwa malipo.
Wamiliki wa account hizi kwenye nchi zilizoendelea kama US wanahesabiwa kama watu WALIOJIAJIRI(selfemployed) na wanalazimika kulipa kodi "self-employment tax" pale wanapoingiza mkwanja kupitia account zao 'pay-as- u earn'.
Kwa wale wenye account hizi facebook na instagram nk itawalazimu wao na makampuni waliyoingia ubia nayo walipe kodi kulingana na thamani ya tangazo lao ambayo pia inategemeana na thamani ya mwenye account na idadi ya followers.
Mfano Lebron James anaingiza mpaka Mil 80 akipost tangazo moja kwenye account yake binafsi ya instagram huku Cristiano Ronaldo,Messi na Neymar Jr wanaingiza mpaka mil 110 kwa kupost tangazo moja kwenye account zao binafsi za mitandao ya kijamii na inawalazimu kulipa mpaka kodi ya 20% kwa kiasi walichoingiza.
Sasa kama utaweza kuwalipisha kodi wamiliki wa blog na account za youtube(hapa inajumuisha hizo wanazoita online TV) za biashara kulingana na matangazo,idadi ya viewers na idadi ya walioperuzi(kiasi cha megabytes alizoingiza) na malipo kutoka youtube headquater unapaswa uwalipishe na wanaopost matangazo ya biashara kwa malipo kwenye instagram na other social network kwa kuwa baadhi yao wanapata pesa mpaka mara 30 ya muuza matunda anayeuza sokoni na analipa ushuru kama kodi yake kwa kazi anayoifanya toka alfajiri mpaka magharibi.Otherwise wasipolipa labda tuwaite MACHINGA WA MITANDAONI maana machinga ndio hawalipi kodi.