Kodi tunayotozwa kwenye magari ni kubwa mno kwani inaendaga wapi? Mbona sioni impact yake kwenye uchumi?

Kodi tunayotozwa kwenye magari ni kubwa mno kwani inaendaga wapi? Mbona sioni impact yake kwenye uchumi?

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Kwa wanaojua mchakato wa kununua gari nchini Tanzania hadi kukamilisha taratibu zoote za usajili, huwa gharama zinakuwa almost sawa na nusu ya bei ya gari ukilinganisha na nchi ilikotoka.

Na kama hujatembea nchi za wenzetu unaweza usielewe namna sisi tunavyokamuliwa makodi makubwa.

Mfano ni Congo ukiishaingiza gari yako inaenda direct kwenye matumizi Zambia kadhalika lakini hapa kwetu ukinunua gari ya dolar 15000 ujue utatakiwa kuwa na dollar kama hizo kujifanya lihalalishwe kutumika Tanzania

Ukizingatia idadi ya gari za kifahari zinazonunuliwa kwa fujo na watu binafsi pamoja makampuni na taasisi mbalimbali zinazofanya kazi hapa nchini pia foleni ya gari binafsi sioni return inayoridhisha kama matokeo ya kodi kubwa sana tunayopigwa kwenye magari.
 
Siyo hiyo tu, kuna kodi ni kubwa zaidi kwa kila lita ya mafuta. VAT, kodi za majengo, tozo, vibali mbalimbali.

Watu wanakamuliwa lakini haijulikani pesa zao zinatumika vipi. Ongeza mikopo, kutembeza bakuli kila siku kwa kila mtu, nchi, kampuni, kuuza rasilimali zetu muhimu kwa kasi ya ajabu na bei ya jumla.
 
Si zinaingia hazina kwenye Mfuko ndo Hizo tunazolipana mishahara na miradi
Of course zikitoka hazina zinaenda wapi? Jiulize,Jaribu kwenda hospitali yoyote ya serikali karibu yako, angalia huduma za serikali kwenye shule,masoko hata vyoo, usafi, barabara, TRA,manispaa, halmashauri wanapambana kuchukua kipato chako kuliko kuboresha maisha yako.
 
Siyo hiyo tu, kuna kodi ni kubwa zaidi kwa kila lita ya mafuta. VAT, kodi za majengo, tozo, vibali mbalimbali.

Watu wanakamuliwa lakini haijulikani pesa zao zinatumika vipi. Ongeza mikopo, kutembeza bakuli kila siku kwa kila mtu, nchi, kampuni, kuuza rasilimali zetu muhimu kwa kasi ya ajabu na bei ya jumla.
si ndio hizi Wana tununulia sukari kwa ajili ya wananchi we si umesikia mpaka stationary inapewa tenda ya kuaagiza sukari ya bilioni 6btsh ili hali mtaji wake Ni milion50 tsh.
 
Wanao tengeneza magari naona hua wanatucheka sana unakuta unalipa kodi zaidi hata ya bei ya gari ulilo nunua unajiuliza hawa kodi yote hii ni kwamba nao walikua huko japan wanachangia matengenezo yaaan vichekesho.Ww buku ya vocha tu wanakata kam 280 makato yaan ka buku mnaxhukua hela yote hiyo ndo sababu mabando yamekua anasa
 
Ukifiria vizuri hawa wanaoweka hizi kodi hasa kwenye usafiri kwa nchi maskini kama hii hawajali maslahi kabisa ya Wananchi wengi.

Kwa nchi ambayo mazao,matunda yanaoza shambani kwa kukosa usafiri, biashara zinashindikana kufanyika sababu ya usafiri mbovu au barabara mbovu, au maisha ya wengi yanaisha kabla ya muda kwa kukosa ambulance, hata pikipiki, bajaji, baiskeli ungetegemea kipaumbele kiwe kuongeza usafiri, barabarani. Hivyo vitu moja kwa moja vingeboresha maisha ya Watanzania wengi na kuongeza ajira.

Taxi, boda, bajaji, wakulima, madalali, wanafunzi, wafanyakazi, wafanyabiashara nchi nzima ingenufaika.
 
Siyo hiyo tu, kuna kodi ni kubwa zaidi kwa kila lita ya mafuta. VAT, kodi za majengo, tozo, vibali mbalimbali.

Watu wanakamuliwa lakini haijulikani pesa zao zinatumika vipi. Ongeza mikopo, kutembeza bakuli kila siku kwa kila mtu, nchi, kampuni, kuuza rasilimali zetu muhimu kwa kasi ya ajabu na bei ya jumla.
Ikipangwa kutoka Barabarani mtatoka kama Wakenya? shida kuu iko kwa Raia sio Serikali, Taifa lina Raia waoga hakuna mfano
 
Kwa wanaojua mchakato wa kununua gari nchini Tanzania hadi kukamilisha taratibu zoote za usajili, huwa gharama zinakuwa almost sawa na nusu ya bei ya gari ukilinganisha na nchi ilikotoka.

Na kama hujatembea nchi za wenzetu unaweza usielewe namna sisi tunavyokamuliwa makodi makubwa.

Mfano ni congo ukiishaingiza gari yako inaenda direct kwenye matumizi Zambia kadhalika lakini hapa kwetu ukinunua gari ya dolar 15000 ujue utatakiwa kuwa na dollar kama hizo kujifanya lihalalishwe kutumika Tanzania

Ukizingatia idadi ya gari za kifahari zinazonunuliwa kwa fujo na watu binafsi pamoja makampuni na taasisi mbalimbali zinazofanya kazi hapa nchini pia foleni ya gari binafsi sioni return inayoridhisha kama matokeo ya kodi kubwa sana tunayopigwa kwenye magari.
Ikipangwa Maandamno mnatoka? au mnakaa kwenye Tv saa Mbili kuangalia wachache wakiandamana huku nyie mkiwa mnakula raha?

Shida ya hii nchi sio Seriali, shida iko kwa Raia, Taifa lina Raia waoga ni hakuna mfano, Raia tuna ujasiiri wa kulalamika pekee ila kwemye action huwezi ona mtu. Tunataka Mbowe au Lisu waandamane kwa niaba yetu
 
Kwa wanaojua mchakato wa kununua gari nchini Tanzania hadi kukamilisha taratibu zoote za usajili, huwa gharama zinakuwa almost sawa na nusu ya bei ya gari ukilinganisha na nchi ilikotoka.

Na kama hujatembea nchi za wenzetu unaweza usielewe namna sisi tunavyokamuliwa makodi makubwa.

Mfano ni congo ukiishaingiza gari yako inaenda direct kwenye matumizi Zambia kadhalika lakini hapa kwetu ukinunua gari ya dolar 15000 ujue utatakiwa kuwa na dollar kama hizo kujifanya lihalalishwe kutumika Tanzania

Ukizingatia idadi ya gari za kifahari zinazonunuliwa kwa fujo na watu binafsi pamoja makampuni na taasisi mbalimbali zinazofanya kazi hapa nchini pia foleni ya gari binafsi sioni return inayoridhisha kama matokeo ya kodi kubwa sana tunayopigwa kwenye magari.
Nchi inaongozwa na majizi. Hivi karibuni tunakuwa Zimbabwe kiroho safi!
 
Ikipangwa kutoka Barabarani mtatoka kama Wakenya? shida kuu iko kwa Raia sio Serikali, Taifa lina Raia waoga hakuna mfano
Ni waoga, Maskini wa kutupwa, njaa zetu, uchawa wetu, ugumu wa ajira, elimu zetu, jamii yetu ilivyo, historia yetu ukianzia na Nyerere au vyote kwa ujumla?

Kiasi kwamba hatuna muda wa kutafari shida zetu kwa umakini na majibu sahihi ya shida zetu na viongozi watakaoweza kutufukisha nchi ya ahadi.
 
Ikipangwa kutoka Barabarani mtatoka kama Wakenya? shida kuu iko kwa Raia sio Serikali, Taifa lina Raia waoga hakuna mfano
Kenyata Senior alimwambia Nyerere wewe unaongoza maiti, Mimi naongoza wagonjwa wa ICU na WA kawaida ila wakipona hawataniacha salama! Linguine mazindiko ya mbio mbio!!!
 
Ni waoga, Maskini wa kutupwa, njaa zetu, uchawa wetu, ugumu wa ajira, elimu zetu, jamii yetu ilivyo, historia yetu ukianzia na Nyerere au vyote kwa ujumla?

Kiasi kwamba hatuna muda wa kutafari shida zetu kwa umakini na majibu sahihi ya shida zetu na viongozi watakaoweza kutufukisha nchi ya ahadi.
Taifa limehaaa wajinga sana amini usiamini, na hii ni adcantage kubwa sana kwa watawala. Angalia wafanyakazi walivyo tu waoga acha raia wa kawaida masikini angalia wafanyakazi,
linapo kuja swala la Uoga sidhani kama kuna Taifa linatusogelea
 
Back
Top Bottom