C charityboy Senior Member Joined Nov 11, 2010 Posts 138 Reaction score 4 Dec 8, 2012 #1 Wakuu jana tulikwenda ardhi kulipia shamba letu tukaambiwa tulipie 5000/= kwa kila heka, eti ni sheria mpya ya huyu mama tibaijuka. Hivi ni kweli tunataka kuibiwa? Naomba anayejua atujuze kama kuna mabadiliko haya.
Wakuu jana tulikwenda ardhi kulipia shamba letu tukaambiwa tulipie 5000/= kwa kila heka, eti ni sheria mpya ya huyu mama tibaijuka. Hivi ni kweli tunataka kuibiwa? Naomba anayejua atujuze kama kuna mabadiliko haya.
K Kamuzu JF-Expert Member Joined Oct 14, 2008 Posts 993 Reaction score 307 Dec 8, 2012 #2 Dai risiti tu, akileta longolongo jua magumashi. Ila angalia hata risiti inaweza kuwa kanyanga, si unajua kibongobongo?
Dai risiti tu, akileta longolongo jua magumashi. Ila angalia hata risiti inaweza kuwa kanyanga, si unajua kibongobongo?